Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

Mkuu Leo ni tarehe 21/09/2024 Ulishalipwa mbona kimya.
 
Mm walinambiaga ndan ya mwez mmoja...lakni wiki tu mzgo ulisoma,,wanajitaid sku iz...kama kwenye app yao mzgo uuoni basi madai confirm.
 
Mm walinambiaga ndan ya mwez mmoja...lakni wiki tu mzgo ulisoma,,wanajitaid sku iz...kama kwenye app yao mzgo uuoni basi madai confirm.
PSSSF ni wasanii sana. Eti mhasibu akiondoka mwezi hulipwi. Kwani imekua kama dukani kwa mangi?
 
Ukiona hivyo mzigo chungulia baada ya masaa 24,ngomaa inasoma,case close.unapata hiyo pesaa kabla ya hiyo tarehe angalia kesho jioni....nilivyo kutia moyo ikiingia nitumie 10000 ya konyagi kubwa.amini transaction ishafanyika
Alituma?
 
Oyaaaa ulilipwa on time? Au pesa iliisha ukauza na simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…