Tarehe 24 ndio leo CAS vipi?

Tarehe 24 ndio leo CAS vipi?

playboy babu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2015
Posts
2,648
Reaction score
1,566
Tulipoona tangazo la PRESS ya leo ya YANGA tulijua majibu ya Morrison ndo yamerudi kumbe wanatangaza ujio wa HAJI MANARA swali ni je WHY MANARA ATANGAZWE katika tarehe ambayo tulitarajia watupe matokeo ya CAS?

Kuna watu wanachezewa akili hapa..nadhani leo ilipaswa tuambiwe juu ya MORRISON..kwa hili la leo nahisi MORRISON KASHINDA KESI.
 
Kuongoza timu kama Utopolo ni rahisi sana ukiwapa matukio wanasahau mambo muhimu ya timu.
 
ACHA SABABU WEWE KWANI MORISSONI AKISHINDA SISI INATUHUHUSU NINI KAMA MASHABIKI? SI TUNATIZAMA YAJAYO ILA PAST NI PAST TU HAITUHUSU TENA KAMA MASHABIKI.
 
Back
Top Bottom