Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
34°C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niletee maokoto bardiii.Tukusaidiaje?
Atakuwa mzaliwa wa mtwara,jimbo lao hilo wanalikalia kimabavuKuna vitu kadha kwa kadha mtu anapenda kuishi sehemu fulani.
-moja hali ya hewa.Sasa kilicho kukalisha huko ni kitu gani.
Mpelekee maji baridiTukusaidiaje?
Aisee mtwara na lindi kuna joto daaaaah......😥😥😥Atakuwa mzaliwa wa mtwara,jimbo lao hilo wanalikalia kimabavu
Utakufa kizembe, utachekwa.Na wenzio tupo juu ya kiuno
Nitakua sio wa kwanza kuchekwaUtakufa kizembe, utachekwa.
Usifurahie ujinga, taarifa za hali ya hewa ni muhimu sana kuliko unavyodhani, zipo nchi vipimajoto vimewekwa barabarani ili wananchi wavisome wenyewe japo sisi hata malmaka husika haioni muhimu kutujulisha!Nitakua sio wa kwanza kuchekwa
si mhamie Makete?
Irudiwe....Mimuntu mizima ya humu JF mumejibu kiujingwa sana.. inaonyesha mupoje kinandwi kwa rohwo na tabiwa zenu. Sheimi kubwa kwenwu..
Downgraded kwa listwi ya munazwo kiwango fulani.. na spidi ya 5G
Mbona yeye haendi huko.Chalamila Amewaambia Mkiona Mji Mgumu Karibuni Koromije Huko.
Hii indication ya temperature, ni ambient temperature au temperature ya batteries?