University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Kwani ilikua Friendly Match au TPL(Tanzania Premier League)Wanasema eti waliwaachia kwa kuogopa ulozi
Walikutana na waasisi wa Ndumba..Kwahivyo yao haikufua dafuWanasema eti waliwaachia kwa kuogopa ulozi
kwani simba siwaliwai kwenda huko mwaka jana kucheza mechi ya kirafikiWakati Mnyama yupo nje ya nchi kimataifa,Yanga ipo Sumbawanga inacheza disco vumbi
Wakati Mnyama yupo nje ya nchi kimataifa,Yanga ipo Sumbawanga inacheza disco vumbi
Wewe ndio hamnazo kabisa. Uliona wapi hizo timu ulizozotaja zikicheza ndondo kama si wakati wa pre season tu?Zimecheza ligi ikiendelea???Mwhehu kabisa wewe. Hata Man U au Barca na hata Madrid wanazo mechi za ndondo