University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Habari members!!!
Nasikia YANGA wamepigwa Goli 2 Dhidi ya Sumbawanga.
Golikipa alikuwa Kindoki.
Kwa wale waliofuatilia hii Mechi mtujuze,Upande WANGU sikuifuatilia hii kuhusu kubikiriwa wanayanga.
Nasikia YANGA wamepigwa Goli 2 Dhidi ya Sumbawanga.
Golikipa alikuwa Kindoki.
Kwa wale waliofuatilia hii Mechi mtujuze,Upande WANGU sikuifuatilia hii kuhusu kubikiriwa wanayanga.