TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Nyie sinamzijua sana kejeli?
Nyie si mna midomo?
Nyie si mmesajili mnauhakika?
Tarehe 8 . 8 ni siku kuu ya wakulima hivyo siku hiyo tutahakikisha msipoleta timu uwanjani tutawafuata huko huko Njubu na tutawapeni ZAWADI za matikiti kabla hayajadondoka Ili mzipelekee familia zenu!
Ubuyu Ubwete!
Nyie si mna midomo?
Nyie si mmesajili mnauhakika?
Tarehe 8 . 8 ni siku kuu ya wakulima hivyo siku hiyo tutahakikisha msipoleta timu uwanjani tutawafuata huko huko Njubu na tutawapeni ZAWADI za matikiti kabla hayajadondoka Ili mzipelekee familia zenu!
Ubuyu Ubwete!