Tarehe kama ya leo miaka 45 iliyopita, Simba 6-0 Yanga

Tarehe kama ya leo miaka 45 iliyopita, Simba 6-0 Yanga

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Abdallah Kibadeni akaishia kupiga zake hat trick ya kwanza na ya pekee katika derby ya kariakoo. Utopolo mpaka leo wameshindwa kulipa kichapo hiki.

Naambiwa baada ya mechi hii, bakora za kutosha zilitembea sana jangwani!

Kwahyo sio mbaya wakati tunaenda mbele tusisahau na tulikotoka, Utopolo bado ni mchele mchele kwa Simba.


D0393463-D494-47B3-A173-B121F4A2FC2C.jpeg
 
King Kibadeni alipiga mabao matatu hat-trick, rekodi ambayo imekuwa kama mzimu kwao umeganda hautaki kutoka.
 
Back
Top Bottom