real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Baada ya kuahirishwa mara mbili, muungano wa Upinzani nchini Kenya umepanga kumuapisha kiongozi wao , Raila Odinga kama rais tarehe 30 Januari na Kalonzo Musyoka kama makamu wa rais.
Kituo cha Citizen Tv kinasema Odinga ataapishwa kwenye uwanja wa Uhuru Park kabla ya kufanyika kwa mikutano kadhaa
Kalonzo Musyoka ambaye ni mmoja wa viongozi wa upinzani alisema kama serikali haitafanya mazungumzo nao basi watajiapisha
Mwanasheria mkuu wa Kenya alionya kuwa kitendo cha kuapishwa Raila ni uhaini ambayo adhabu yake inaweza kuwa kifo
Raila alisema yupo tayari kufa ili watu wapate kiongozi waliyemchagua
================================================
NASA’s much awaited swearing in of Raila Odinga and Kalonzo Musyoka has been scheduled for the end of this month according to a special planning committee. Citizen TV has learnt that the opposition coalition intends to swear in Odinga at Uhuru Park preceded by a series of rallies and meetings in several counties.
Source: Citizen Tv
Kituo cha Citizen Tv kinasema Odinga ataapishwa kwenye uwanja wa Uhuru Park kabla ya kufanyika kwa mikutano kadhaa
Kalonzo Musyoka ambaye ni mmoja wa viongozi wa upinzani alisema kama serikali haitafanya mazungumzo nao basi watajiapisha
Mwanasheria mkuu wa Kenya alionya kuwa kitendo cha kuapishwa Raila ni uhaini ambayo adhabu yake inaweza kuwa kifo
Raila alisema yupo tayari kufa ili watu wapate kiongozi waliyemchagua
================================================
NASA’s much awaited swearing in of Raila Odinga and Kalonzo Musyoka has been scheduled for the end of this month according to a special planning committee. Citizen TV has learnt that the opposition coalition intends to swear in Odinga at Uhuru Park preceded by a series of rallies and meetings in several counties.
Source: Citizen Tv