Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Nendeni clinic mtaambiwa watu wanakaa kupiga story kazini halafu nyie mnatuchosha huku........
.... Afu aangalie jinsi ya kuwaingia. Ukienda kichwakichwa nao wanakuzingua
tit 4 tat,bora ya mizinguo ya humu jf hatuonani... Kila mdanganyika wa nchi hii kajichokea mbaya!
 
Umetisha sana tena sana...............Kwa mara ya kwanza ndani ya JF napata detailed solutionza kitu ninacho kitaka.
Vipi nasikia kupima DNA kuna masharti mengi sana vipi ni kweli ? kama siyo kweli ina-cost shilingi ngapi? na Hospital gani zinatoa huduma hii? na unahitaji kupeleka nini ili kupima DNA?

AHSANTE KWA ELIMU HII MKUBWA!!!!!!!!!!!
 
... Wewe muulize tarehe yake ya mwisho ya hedhi. Kitabibu ili kujua tarehe ya kujifungua:
Unachukua tarehe ya mwisho ya hedhi[LMP=Last Mestrual period] unajumlisha na 7,unachukua mwezi wa mwisho wa hedhi unaongeza au unatoa 9 hapo unajua lini anatarajia kujifungua [EDD= Expedected Day Of Delivery]
... Kwa mfano kama LMP ilikuwa
26/4/2011 unachukua 26+7= 33, april ina siku 30, 33- 30= 3 may: 5+9= 14 mwaka una miezi 12 so 14-12= 2 [feb].
So EDD[Expected day of delivery ]
ni 03 february.
... Angalizo ni vigumu kujua mtoto ni wa kwako kwa kuangalia facts eti ulisex na that lady siku
gani. Kaa ukijua ni sperm moja tu inatosha kutengeneza mtoto[ the fastest,healthly,strong one]. So siku hizo sijui 5 unauhakika alisex nawe pekee! Kama kuna jamaa alikuwahi akatanguliza sperm yake mchana na ikatengeneza kimimba,utatuambia nini? Wakati mwingine ni bora kuaminiana tu kama tunavyoamini kuwa kesho kuna wokovu... Kama humuamini
kivile subiri siku katoto kakizaliwa kama hakafananii nawe [kwa imani yako],kang'oe tunywele tuwili ukacheki DNA kama zinarandana na za kwako !
...VP NIMEKUCHANGANYA MKUU ?!



Umetisha sana tena sana...............Kwa mara ya kwanza ndani ya JF napata detailed solutionza kitu ninacho kitaka.
Vipi nasikia kupima DNA kuna masharti mengi sana vipi ni kweli ? kama siyo kweli ina-cost shilingi ngapi? na Hospital gani zinatoa huduma hii? na unahitaji kupeleka nini ili kupima DNA?

AHSANTE KWA ELIMU HII MKUBWA!!!!!!!!!!!
 
Umetisha sana tena sana...............Kwa mara ya kwanza ndani ya JF napata detailed solutionza kitu ninacho kitaka.
Vipi nasikia kupima DNA kuna masharti mengi sana vipi ni kweli ? kama siyo kweli ina-cost shilingi ngapi? na Hospital gani zinatoa huduma hii? na unahitaji kupeleka nini ili kupima DNA?

AHSANTE KWA ELIMU HII MKUBWA!!!!!!!!!!!


AHSANTE !
Kwa Dar es Salaam nenda Aga Khan Hospital. Kuhusu cost hadi mwaka jana ilikuwa shs laki 1 kwa kichwa sielewi kama imebadilika au la. Kwa tatizo lako inabidi iwe kwa vichwa viwili,wewe na mtoto. Kinachohitajika ni chochote kutoka katika mwili wa mlengwa, hata kama ni jasho lililobaki kwenye nguo alizovaa [unawapelekea nguo],kucha,nywele n.k.
... Kuhusu masharti,hiyo sielewi. Kama unania hiyo nafikiri ukienda utajulishwa.
 
SWALI: kwa mda huo je, anatakiwa kujifungua lini? maana ananiambia eti mwezi wa kwanza!!!!!.
Kuna ovulation calender nying online mfano hii ya baby center inaweza kukupa mwanga

Vipi nasikia kupima DNA kuna masharti mengi sana vipi ni kweli ? kama siyo kweli ina-cost shilingi ngapi? na Hospital gani zinatoa huduma hii? na unahitaji kupeleka nini ili kupima DNA?

Siku hizi unaweza ukafanya hiyo patenity test hata mtandaoni (kama bongo wanakuzingua). Unachotakiwa kufanya ni kuagiza kit halafu unachukua Buccal swabs (mate/udenda) ya dogo na yako na kutuma. Halafu jamaa watakuletea majibu bila ya mwanamke kujua.
 
AHSANTE !
Kwa Dar es Salaam nenda Aga Khan Hospital. Kuhusu cost hadi mwaka jana ilikuwa shs laki 1 kwa kichwa sielewi kama imebadilika au la. Kwa tatizo lako inabidi iwe kwa vichwa viwili,wewe na mtoto. Kinachohitajika ni chochote kutoka katika mwili wa mlengwa, hata kama ni jasho lililobaki kwenye nguo alizovaa [unawapelekea nguo],kucha,nywele n.k.
... Kuhusu masharti,hiyo sielewi. Kama unania hiyo nafikiri ukienda utajulishwa.

Hapa tanzania ni kwa mkemia mkuu wa serikali tu ndo wanafanya hiyo kitu. Walivyoanza mwanzoni ilikuwa mtu yeyote anaweza kwenda kupima, baadaye kidogo ilileteta matatizo na ikabidi mpaka uje na hati maalum ya mahakama, kwa sababu hii ni medical-legeal na inabidi iende kisheria zaidi.
 
Hapa tanzania ni kwa mkemia mkuu wa serikali tu ndo wanafanya hiyo kitu. Walivyoanza mwanzoni ilikuwa mtu yeyote anaweza kwenda kupima, baadaye kidogo ilileteta matatizo na ikabidi mpaka uje na hati maalum ya mahakama, kwa sababu hii ni medical-legeal na inabidi iende kisheria zaidi.
Thanx for the information
 
tumia kinga tu au pills mizunguko imewaponza wengi
 
Kwa mtu mwenye mwezi wa siku 30,ananafasi ya kushika mimba japo nafasi ni ndogo, kwa mtu mwenye 28 days hawezi kushika mimba.
 
wanajamvi naommba tushare knowledge kidogo plz kwa yule anayejua ni siku gani ambazo m,ke hawezi kupata mimba wakati wa tendo la ndoa kwa kwa anayejua plz

thanks in advance
 
Siku ya tarehe 30 na 31 ya mwezi wa pili kila mwaka.
 
kwanini musitumie condom jamani
any way wanatofautiana kwani wale wanaozunguka 28days wanapata 14 so wewe unatakiwa usikutane naye kimwili kuanzia tar 12 mpaka 16 hapo inategemea na mbegu zako mana zikiwa dhaifu unaweza hata siku yenyewe ukafanya na asipate pia
na wale wanazunguka 32 unatumia 16 so utaacha kuanzia tar 14 mpaka 18
na kwa wale ambao hazitabiriki ni anaanza kuhesabu kuanzia siku alobleed hadi ya 14.ataacha cku 2 nyuma na 2 mbele yake...............
na kama hajui kabisa basi wewe ndio muangalie mana siku iyo k itakua ya moto sana kupita kiasi kama tanuru na maji maji yale yatakua mazito na yananata sana na hata kama ilikua panaje siku iyo itakua imejibana kidogo na itakua mnato zaidi ya manatona atakua na stimu za kufa raia......(wote mutanogewa sana siku iyo)
 
Baada ya kutembelewa na Ban Ki Moon, atakaa naye kwa muda wa siku ya 5. Siku ya 6 na 7, Ki Moon atakuwa ameondoka na kukuacha unakula kitu roho inapenda. Kuanzia siku ya 8-16 safiri kwenda mkoa mwingine ili uwe mbali naye. kuanzia siku ya 17 rudi na uendelea kutwanga mpaka Ban Ki Moon atakaporudi tena. Lakini kumbuka kumtembelea Ndugu Angaza Zaidi.
 
Scientifically, njia ya uzazi kwa kutumia kalenda is the least reliable but the safest method(ina-share sifa hizi with the withdrawal method because zote ni natural methods of birth control). Msingi mkubwa wa njia hii ni fact kuwa mbegu za kiume zina uwezo wa kuishi kwenye njia ya mwanamke mostly for 48-72hrs, wakati yai la mwanammke lina survive for 72hrs. Sasa basi, kwa mwanamke ambae ana cycle ya 28 days, huwa yai linapevuka kati ya siku ya 13 hadi 15. Hivyo basi, siku za hatari kwa mwanamke kama huyu ni kuanzia siku tatu kabla yai halijapevuka, mpaka siku tatu baada ya yia kupevuka, yaani siku ya 10 mpaka 18(kumbuka yai linaweza pevuka any day between the 13th to 15th day). Siku zilizobakia ni siku salama(safe days). Lakini, angalizo wakuu mtegio wa njia hii upo kwenye unreliability ya siku ya yai kupevuka kwani in some cases inaweza kurudi nyuma hata mpaka siku ya 11, especially in young ladies below 25yrs ambao bado hawajazaa, plus inataka discipline sana, na mwanamke anaeujua vizuri mwili wake-maana wapo ambao hata yai likipevuka hawajui!! Thats why personally huwa narecommend condom method over calendar
 
thanks for your information so kwa mfano kama ameacha kubleed tarehe 10 mwezi wa 3 inamaanisha tarehe 11 na 12 hawezi kupata mimmba is it?
 
Back
Top Bottom