... Wewe muulize tarehe yake ya mwisho ya hedhi. Kitabibu ili kujua tarehe ya kujifungua:
Unachukua tarehe ya mwisho ya hedhi[LMP=Last Mestrual period] unajumlisha na 7,unachukua mwezi wa mwisho wa hedhi unaongeza au unatoa 9 hapo unajua lini anatarajia kujifungua [EDD= Expedected Day Of Delivery]
... Kwa mfano kama LMP ilikuwa
26/4/2011 unachukua 26+7= 33, april ina siku 30, 33- 30= 3 may: 5+9= 14 mwaka una miezi 12 so 14-12= 2 [feb].
So EDD[Expected day of delivery ]
ni 03 february.
... Angalizo ni vigumu kujua mtoto ni wa kwako kwa kuangalia facts eti ulisex na that lady siku
gani. Kaa ukijua ni sperm moja tu inatosha kutengeneza mtoto[ the fastest,healthly,strong one]. So siku hizo sijui 5 unauhakika alisex nawe pekee! Kama kuna jamaa alikuwahi akatanguliza sperm yake mchana na ikatengeneza kimimba,utatuambia nini? Wakati mwingine ni bora kuaminiana tu kama tunavyoamini kuwa kesho kuna wokovu... Kama humuamini
kivile subiri siku katoto kakizaliwa kama hakafananii nawe [kwa imani yako],kang'oe tunywele tuwili ukacheki DNA kama zinarandana na za kwako !
...VP NIMEKUCHANGANYA MKUU ?!