naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,431
mi nashindwa kuelewa hii kwa mfano mimi mzunguko wangu ni siku 24 . na maanisha kwa mfano ni eanza leo 4,5,6,7. baada yakumaliza nakaa siku 24 ndo napata tena hapo nahesabu vipi
swali je mwanamke baada tu ya tendo la ndoa anakimbilia kujisafisha na maji kuna uwezekano wa kupata mimba?
tarehe ya mwisho, ilikua leo na kesha maliza tayari 21/11/2014, mzunguko siku 28
nipe report mkuu lini nipige mzigo?
Kujisafisha hakuzuii kupata mimba only kondom,vidonge na njia za vijiti unaweza kuzuia mimba
utamtia utasa kama sio cancer na uvimbe mwenzio na hizo njia zako za uzazi unazo mshauri, si salama hata kidogo,unaweza kujikuta umezuia mimba milele. Go and find details my dear.