Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Ni kuanzia siku ya 12-16 ila unaweza kulana bila maganda hadi siku ya kumi ya 11 ukaiacha na mkaanza tena bila gand akuanzia siku ya 18 precautionary
 
Tarehe 6 siku ya Kwanza + siku 11=18 tarehe 18 na kuendelea ndo danger zone
Ninaomba kujuzwa jaman,mzunguko wngu ni cku 28 mwez wa 12 nilibleed trh 5 then january nmebleed trh 6 je cku sahihi za kushika mimba ni zip? Kwa ambao wko sirias ctak jokes pliiiiz
 
Ninaomba kujuzwa jaman,mzunguko wngu ni cku 28 mwez wa 12 nilibleed trh 5 then january nmebleed trh 6 je cku sahihi za kushika mimba ni zip? Kwa ambao wko sirias ctak jokes pliiiiz
ANZA KUHESABU SIKU UKIINGIA BLEED IWE SIKU YA KWANZA UKIFIKA SIKU YA 12 KUWA MAKINI LAKINI SIKU AMBAYO YAI LINAPEVUKA SO SIKU HII NI HATARI SANA.
KWAIYO KUANZIA SIKU YA 12 ADI 16 KUWA MAKINI.
KWA USHAURI ZAIDI NI PM NIKUPE NA NJIA ZA KUKEEP CONSTANT SIKU ZAKO.
 
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;

1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"

Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
 
Ni kuanzia siku ya 12-16 ila unaweza kulana bila maganda hadi siku ya kumi ya 11 ukaiacha na mkaanza tena bila gand akuanzia siku ya 18 precautionary


ya 11???? unamdanganya wwngine ya 10 tu mambo yanatugeuka achia 8/9mwaya hyo ya 9 mwisho saa mbili usiku saa 6 isikukute
 
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;

1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"

Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
mkuu hiyo nanlii ye2 wanauza wapi kwa hapo?????(mmea)
 
Nami nahitaji msaada, nime 'do' na manzii wangu katikati ya hizo siku na tangu jana analalamika sana tumbo chini ya kitovu kumuuma, tatizo litakuwa ni nini?
 
Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.

Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.

Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.

Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.

Mfano wa kauli za Lowassa;

1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"

Na nyingine nyingi zenye utata!

Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??

Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
nani tena huyu kakanyaga wayaaa?
 
andaa uniform,madaftari,ufutio,kalamu n.k.hzo ni dalili njema
Mkuu, bado sijakuelewa maana ya kuumwa hivyo ukilinganisha na tulivyokutana kati ya 13, 14, 16 na kuendelea. Ufafanuzi nauhitaji Mkuu.
 
Mkuu, bado sijakuelewa maana ya kuumwa hivyo ukilinganisha na tulivyokutana kati ya 13, 14, 16 na kuendelea. Ufafanuzi nauhitaji Mkuu.
dalili za mimba hzoooo.muda ci mrefu utasikia cizioni siku zanguu.ujue mmefaulu mtihani.fedha yako ya kwenda kwa dokta mwaka umeisave
 
Back
Top Bottom