Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Miezi mi5 si siku nyingi sana wapo watu wamekaa mpaka miaka 10 wengine sita na walivyojaaliwa kupata watoto kila mzao ni mapacha kwa hiyo usikate tamaa muda bado upo usiwe na shaka sana bado mapema utajaaliwa kuwapata au kumpata kila kheri dada
 
Miezi mi5 si siku nyingi sana wapo watu wamekaa mpaka miaka 10 wengine sita na walivyojaaliwa kupata watoto kila mzao ni mapacha kwa hiyo usikate tamaa muda bado upo usiwe na shaka sana bado mapema utajaaliwa kuwapata au kumpata kila kheri dada

Ahsantee
 
Madame Lufuo tujuze kama hizo tarehe ulizoshauriwa(2/3) ulifanya tendo kupata mtoto. Leo tarehe 7 machi. Tunaamini dalili umeziona. Sex ilikuwa tamuuuu saanaaa.
 
Naomba kuongeza hapo.

Mbezu za kiume zinazoweza kutoa mtoto wa kiume huweza kukaa muda wa masaa 48.na zinazoweza kutoa mtoto wa kike hukaa masaa 72. Kwa hiyo toka siku ya 11 mpaka siku ya 14 yai linapokuwa released ni masaa 72.KWA HIYO BASI, kama wataka mtoto wa kike wapaswa kufanya tendo la ndoa siku ya 11 au 12 maana mbegu za kutoa mtoto wa kiume zinakuwa zimeishiwa nguvu kabisa ifikapo siku ya 14 na za kike zitakuwa bado zinadunda.

Ila kwa siku ya 13,14 yenyewe ukifanya tendo la ndoa mara nyingi posibility ya kupata mtoto wa kiume ni kubwa maana speed ya mbegu zitoazo mtoto wa kiume ni kubwa kuliko zitoazo mtoto wa kike. Na itakuwa ni ndani ya masaa 48 .
Imekaa njema sana, heshima kwako.
 
Mkuu Mr. Kiroboto,

Naomba nitoe mifano hai kwa faida ya dada zetu na wengine:

1. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 22 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kisha ahesabu kuanzia ile 22nd day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 8th day ya kalenda yake. Hivo 8th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 22. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


2. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 28 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 14th day. Inamaana kwamba 14th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 28. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


3. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 35 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st
, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th, 29th, 30th, 31st, 32nd, 33rd, 34th, 35th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 21st day. Inamaana kwamba 21st day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 35. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


4. Kama mwanamke ana abnormal menstration cycle ya siku 15 , BASI KUNAUWEZEKANO WA KUTOPATA MIMBA KABISA KAMA INAVYOONEKANA HAPA CHINI:

Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama kawaida:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 15th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 1st day. Inamaana kwamba, the 1st day of her bleedind ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 15. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed, na ndiyo hiyo hiyo siku ambayo mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba!

Hii inamaana kwamba, siku ambayo linaharibika lile yai la upande mmoja ndiyo siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linapevuka tayari kwa kurutubishwa. Mwanamke wa aina hii anaweza kupata mimba tu kama atakutana na mwanaume siku ile anayoanza kubleed, kwani siku ambayo yai moja linaanza kuharibika ndio siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linakuwa tayari kurutubishwa!

Na wanawake wa kundi hili la nne ukiwauliza vizuri watakiri kwamba hawajawahi kuona au ku-feel ule ute mweupe ambao wenzao huwa wanaupata siku ile yai linapokuwa tayari kwa kurutubishwa, kwani ute wa wanawake wa kundi hili la nne huwa unachanganyikana na damu kwa vile unatoka siku ile ile wanapoanza ku-bleed. Pia wanawake wa kundi hili huwa wanatokwa na kiasi kidogo sana cha damu; na bleed hukatika ndani ya siku moja au mbili tu!

Jambo la kushangaza ni kwamba, wanawake wengi hawana knowledge ya kutosha juu ya hili suala la siku ya mimba; hasa wale ambao wana menstration cycle inayobadilikabadilika! Wao husitukia tu wameanza ku-bleed. Ndo maana hawawezi hata ku-plan kutopata mimba! Hawana ujanja kabisa ndio sababu wengi wanatumia sindano na njia zingine nyingi za artificial ambazo mwisho wa siku huwaletea matatizo ya uzazi, kwani nyingi hu-block njia ya uzazi! Nimeona wengi wenye matatizo ya uzazi unaosababishwa na hizi artificial family planning. Wengine hulazimika kwenda hospital kuzibuliwa ili wapate mimba jambo ambalo ni hatari kwa afya zao!

Mkuu nashukuru maelezo yako yamefumbua macho kiasi kikubwa sana lakini nina kaswali kadogo naomba msaada,

Mpenz wangu yuko kwenye mzunguko wa kati yaani siku 28 na kawaida tarehe 28 huwa ndio anaanzaga kubriji, tarehe 3/04/2015 nilikutananae kimwili pasi na kinga huku nikiamini ni siku salama kwake lakin mpaka jana inaisha tarehe 28 hakuona sikuzake nikamsisitiza leo tarehe 29 akanunue UPT apime akitoka chuon lakini chaajabu kanambia eti anamimba …!!!!

Kiasi fulan natilia shakha juu ya jambo hilo sababu nilipomuoji juu kipimo jins kilionyesha alijibu mithiri ya mtu ambae hajawahi ata kukitumia na nilipomuambia anipigie picha hiko kipimo alidai amekiacha alikoenda kupima na kurudi hataki kukipiga picha hataki kabisa namm niko mbali nae yaani nje ya mkoa kabisa, je niamini kama kuna miujiza imetokea mpk kapata hiyo mimba ikiwa tarehe kubriji alionza ilikuwa tarehe 28/03/2015 na kumaliza tarehe 30/03/2015 namimi nikakutananae kimwili tarehe 03/04/2015…!?????

NAOMBA MSAADA
 
ImageUploadedByJamiiForums1430309251.395288.jpg
 
Mkuu nashukuru maelezo yako yamefumbua macho kiasi kikubwa sana lakini nina kaswali kadogo naomba msaada,

Mpenz wangu yuko kwenye mzunguko wa kati yaani siku 28 na kawaida tarehe 28 huwa ndio anaanzaga kubriji, tarehe 3/04/2015 nilikutananae kimwili pasi na kinga huku nikiamini ni siku salama kwake lakin mpaka jana inaisha tarehe 28 hakuona sikuzake nikamsisitiza leo tarehe 29 akanunue UPT apime akitoka chuon lakini chaajabu kanambia eti anamimba …!!!!

Kiasi fulan natilia shakha juu ya jambo hilo sababu nilipomuoji juu kipimo jins kilionyesha alijibu mithiri ya mtu ambae hajawahi ata kukitumia na nilipomuambia anipigie picha hiko kipimo alidai amekiacha alikoenda kupima na kurudi hataki kukipiga picha hataki kabisa namm niko mbali nae yaani nje ya mkoa kabisa, je niamini kama kuna miujiza imetokea mpk kapata hiyo mimba ikiwa tarehe kubriji alionza ilikuwa tarehe 28/03/2015 na kumaliza tarehe 30/03/2015 namimi nikakutananae kimwili tarehe 03/04/2015…!?????

NAOMBA MSAADA

ndugu hilo changa la macho wala hakuna possibility ya manzi wako kupata mimba kama mlisex 3/4 ila kama mlisex 4/4 ni possible
 
Habari wpndw,me naomba msaada kwa jambo hili huwa nashidwa kujuwa kuwa mzunguko wng ni wa siku ngapi,nashindwa kuesabu kama ni 28 au 25,naomba msaada kwa hapo.mfn mwezi uliyo pita niliziona siku zangu tarehe 30 mpk tarehe 3 nimemaliza,naomba majibu kupitia mfano huo
 
Nimekuelewa kidogo. Ila swali language lipo kwa mwanamke anayeingia hivi, mfano Leo kaona damu kidogo then zikapotea. Kakaa sikukutumia inayofuata haoni kitu chochote hata baada ya sikua mbili anaona tena kidunchu. Baada ya siku moja tena hapo ndo anaanza kubleed damu nyingi na baada ya siku nne anamaliza. Je mtu Kama huyu anakuwa katika kundi lipi mkuu?
 
Habari wpndw,me naomba msaada kwa jambo hili huwa nashidwa kujuwa kuwa mzunguko wng ni wa siku ngapi,nashindwa kuesabu kama ni 28 au 25,naomba msaada kwa hapo.mfn mwezi uliyo pita niliziona siku zangu tarehe 30 mpk tarehe 3 nimemaliza,naomba majibu kupitia mfano huo

Mwez huu ulianza tarehe ngapi?
 
Nimekuelewa kidogo. Ila swali language lipo kwa mwanamke anayeingia hivi, mfano Leo kaona damu kidogo then zikapotea. Kakaa sikukutumia inayofuata haoni kitu chochote hata baada ya sikua mbili anaona tena kidunchu. Baada ya siku moja tena hapo ndo anaanza kubleed damu nyingi na baada ya siku nne anamaliza. Je mtu Kama huyu anakuwa katika kundi lipi mkuu?
Uyo anatatizo mkuu, ushawah kumuona daktari wa magonjwa ya wanawake hasa ya uzazi?
 
Sijawahi mkuu. Lakini tarehe zake zinakuwa ni zile zile kila Mwezi tatizo ni hilo tu la kuingia kinamna hiyo. Mkuu Huyo kweli anaweza kupata mimba?
 
Habari jamani,nna rafiki yangu,yeye anaenda hedhi cku saba ana mtoto mkubwa tu,je ni tatizo?then miezi kama minne iliyopita anaingia tarehe anayomaliza,mf aliingia tar 1/2_7/2 hedhi inayofuata akaingia tar 7/3 badala ya tar 1/3 mwez wa nne tar8 hajaona tar 14 ucku akadu je na hajaona hadi leo hedhi je itakuwa mimba au?
 
Jee Kwa wale ambao tarehe zao Za hedhi zinabadilika yaan hazina tarehe maalumu lakin akienda ni siku mbili atatumia calendar ilele ya siku 22?
 
Mkuu nashukuru maelezo yako yamefumbua macho kiasi kikubwa sana lakini nina kaswali kadogo naomba msaada,

Mpenz wangu yuko kwenye mzunguko wa kati yaani siku 28 na kawaida tarehe 28 huwa ndio anaanzaga kubriji, tarehe 3/04/2015 nilikutananae kimwili pasi na kinga huku nikiamini ni siku salama kwake lakin mpaka jana inaisha tarehe 28 hakuona sikuzake nikamsisitiza leo tarehe 29 akanunue UPT apime akitoka chuon lakini chaajabu kanambia eti anamimba …!!!!

Kiasi fulan natilia shakha juu ya jambo hilo sababu nilipomuoji juu kipimo jins kilionyesha alijibu mithiri ya mtu ambae hajawahi ata kukitumia na nilipomuambia anipigie picha hiko kipimo alidai amekiacha alikoenda kupima na kurudi hataki kukipiga picha hataki kabisa namm niko mbali nae yaani nje ya mkoa kabisa, je niamini kama kuna miujiza imetokea mpk kapata hiyo mimba ikiwa tarehe kubriji alionza ilikuwa tarehe 28/03/2015 na kumaliza tarehe 30/03/2015 namimi nikakutananae kimwili tarehe 03/04/2015…!?????

NAOMBA MSAADA

Ndugu yangu jffrank huyo mpenzi wako hawezi kupata mimba kwa hiyo tarehe mliyokutana kimwili. Hapa kuna mambo mawili,

moja: huenda huyu mwanamke anataka kukupima ili aone reaction yako endapo itatokea siku ame-conceive

Pili: huenda alifanya ngono na mtu mwingine katika ile siku yake ya kupata mimba na akapata na sasa anataka akushike masikio. Nakushauri uweke msimamo
 
Back
Top Bottom