Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Kila wakati ni wakati wa chai!
gfsonwin, kuna coaligue wangu anasemaga 'nguru ina hamu yake pia', usisubirie kuoga tu na kitanda tu,lol!
 
Last edited by a moderator:
anytime mmoja wenu akijisikia then unamshawishi mwenzako nae ajisikie. na ikitokea wote mnajisikia kwa wakati sawa basi hunoga zaid na zaid na msichelewe ni papo hapo as long as ni sehem yenye usiri fulan
 
Nakuja na kikoi tumvishe! Hajui hapo umepata morning glory swaaafi, una-blush tu! Mjini hakuna mwenyeji wallah
hivi mara ya mwisho kmpandisha mwanamke kilimani ni lin? yaelekea weye unautafuta uhai kenye jokofu la mochwari.................ngoja kwanza nifanye lkazi ila lunch time tegemea upata msuto wa nguvu kutoka kwangu.
 
Kila wakati ni wakati wa chai!
gfsonwin, kuna coaligue wangu anasemaga 'nguru ina hamu yake pia', usisubirie kuoga tu na kitanda tu,lol!

Naamin usemayo kwa sababu jina lako KING'ASTI
 
Last edited by a moderator:
anytime mmoja wenu akijisikia then unamshawishi mwenzako nae ajisikie. na ikitokea wote mnajisikia kwa wakati sawa basi hunoga zaid na zaid na msichelewe ni papo hapo as long as ni sehem yenye usiri fulan

Hata jikon inanogaga sana!
 
it is when the fruit is ripe. linaoshwa, linakatwa makaa mezani mnakula. any time.......
 
Wewe uko Tanzania hii hii tuliyopo wote?? Utafiti unaonyesha, kwa wastani, umeme unakatika kila baada ya masaa 9 hapa Tz

Nyumba zenye umeme TZ ni kama asilimia 30 tu,kwa wasio na umeme je inakuwaje mkuu,teh teh teeeeh!
 
Kila wakati ni wakati wa chai!
gfsonwin, kuna coaligue wangu anasemaga 'nguru ina hamu yake pia', usisubirie kuoga tu na kitanda tu,lol!

uko right kabisa King'asti miye nimemjibu hivyo kisa ni swali ambalo kwangu sikutegemea manake kila siku huwa tunaongelea hapa mmu.

anyway hata boss kasema kweli muda mwingine chipschafu ndo tamu kuliko zile zinazopikwa kwenye hali ya usafi sana. ukitaka kuamini kale chips shekilango ama manzese kwa mfuga mbwa nyuma ya lunch time na uje ule za mahotel ykidosi uone.
 
Last edited by a moderator:
Haya kaka,mwaga mambo tupate shule....hiyo inaelekea Tanga au Zanziberi!

Nakuja na kikoi tumvishe! Hajui hapo umepata morning glory swaaafi, una-blush tu! Mjini hakuna mwenyeji wallah

Oyaaa wengine hatujafika miaka 18 humu taratibu vikongwe
King'asti hebu wape shule hawa manake nikienda sana naweza jikuta nachanganya na myanga za coliform huku ama za fibrosisi kwa jinsi leo nilivyo data. hapo kwenye red panahusu sana tu.
 
Last edited by a moderator:
King'asti hebu wape shule hawa manake nikienda sana naweza jikuta nachanganya na myanga za coliform huku ama za fibrosisi kwa jinsi leo nilivyo data. hapo kwenye red panahusu sana tu.

E.coli,Candida Albicunus,sacharamyces e.t.c
 
Last edited by a moderator:
Haya kaka,mwaga mambo tupate shule....hiyo inaelekea Tanga au Zanziberi!

Nakuja na kikoi tumvishe! Hajui hapo umepata morning glory swaaafi, una-blush tu! Mjini hakuna mwenyeji wallah

Oyaaa wengine hatujafika miaka 18 humu taratibu vikongwe

E.coli,Candida Albicunus,sacharamyces e.t.c

kama candida alibicanas na saccharomyses ni coliforms haya weee twende...........
 
wakati wowote mazingira yakiruhusu tu jiachieni na kupata raha
 
Swalim jamani kwa wadau na kunawale wasicha ambao menstration cycle yao haiko sawa kabisa hapa namaanisha wanaweza hata kupitisha miezi miwili bila kupata ethi au mwezi huu akapata sawa mwezi unaokuja asione kitu mpka baada ya miezi miwili kupita kwa ujumla menstration cycle aziko kwenye mfumo tajwa hapo juu,Je na hawa tutawasaidiaje ama kupata mimba ama kuwa na menstration cycle iliyo kwenye mfumo wa kueleweka
 
Hi all ninaswal mm kma ulivosema kuhusu callnder kutumia sasa hyo callendr unaipanga siku ukimalza piriod au mwanzo wa piriod na kma mtu menstration sycle yake haipo sawa inabadilika inakuaje naomba unisaidie thnx
 
Siku hizi kila kitu kimefanywa kuwa rahisi.Ingia google halafu tafuta ovulation calculator.Unaingiza tarehe yako uliyoingia period mara ya mwisho,then unapata tarehe ambazo ni highly fertility!
 
Back
Top Bottom