Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Hello, mimi huwa nakaa sana vijiweni saa zangu za mapumziko baada ya kazi, na mara nyingi huwa naongea issues nyingi sana na washikaji. Na kama kuna issue ambayo nimeona imeleta ubishani sana, huwa nakuja kuileta huku.

Tulikuwa tukijadili jambo moja hivi, kwaba, ni lini mwamke anaweza akapata mimba? Mimi kwa uelewa wangu niliwaambia ni siku ya kumi na tatu au kumi na nne after menstrocycle. Wengi walibisha, pamoja na kwamba hizo ndo prabable days za ku conceive. Wengi wanasema hata siku nyingine zinaweza, ila mimi kulingana na uelewa wangu, nilikuwa naelewa hivyo kwasababu watoto niliopata sijui kama nilifanya hizo siku au la, nilikuwa nadukua tu mara kwa mara mwezi mzima.

Walinibana swali moja kwamba, unaanza kuhesabu lini, yaani utaanzia siku gani kuhesabu hadi zifikie siku hizo hapo juu, unaanza kuhesabu siku ya kwanza ya bleed ndo siku ya kwanza au siku ya mwisho wa bleed ndo siku unayoanza kuhesabu? Mimi niliwaambia ni siku ya kwanza unapoanza kubleed.

Naomba kama kuna madaktari humu watoe elimu hapa kwasababu najua watu wengi wataelimika hapa, na wengi wanaweza kuepuka hata mimba zisizo na malengo.

Njia rahisi chukua duration ya siku zako mfano mwenye cycle ya 21days chukua 21/2= 10.5, chukua 10.5+3= 13.5, 10.5-5= 5.5, therefore duration ya danger days ni kati ya siku 6 hadi siku 14. Yaani kwa mtu mwenye cycle ya 21 days anaweza kupata mimba katika hizi siku, yaani yai linaweza shuka at any time btn these days. Kumbuka mfano kwa wale wenye siku 28 huwa tunasema yai linashuka siku 14, infact yai linashuka at any time btn day 9 and 17 ukitumia formula hiyo. All the best.
 
Mkuu Mr. Kiroboto,

Naomba nitoe mifano hai kwa faida ya dada zetu na wengine:

1. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 22 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kisha ahesabu kuanzia ile 22nd day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 8th day ya kalenda yake. Hivo 8th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 22. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


2. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 28 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 14th day. Inamaana kwamba 14th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 28. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


3. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 35 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st
, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th, 29th, 30th, 31st, 32nd, 33rd, 34th, 35th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 21st day. Inamaana kwamba 21st day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 35. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


4. Kama mwanamke ana abnormal menstration cycle ya siku 15 , BASI KUNAUWEZEKANO WA KUTOPATA MIMBA KABISA KAMA INAVYOONEKANA HAPA CHINI:

Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama kawaida:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 15th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 1st day. Inamaana kwamba, the 1st day of her bleedind ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 15. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed, na ndiyo hiyo hiyo siku ambayo mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba!

Hii inamaana kwamba, siku ambayo linaharibika lile yai la upande mmoja ndiyo siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linapevuka tayari kwa kurutubishwa. Mwanamke wa aina hii anaweza kupata mimba tu kama atakutana na mwanaume siku ile anayoanza kubleed, kwani siku ambayo yai moja linaanza kuharibika ndio siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linakuwa tayari kurutubishwa!

Na wanawake wa kundi hili la nne ukiwauliza vizuri watakiri kwamba hawajawahi kuona au ku-feel ule ute mweupe ambao wenzao huwa wanaupata siku ile yai linapokuwa tayari kwa kurutubishwa, kwani ute wa wanawake wa kundi hili la nne huwa unachanganyikana na damu kwa vile unatoka siku ile ile wanapoanza ku-bleed. Pia wanawake wa kundi hili huwa wanatokwa na kiasi kidogo sana cha damu; na bleed hukatika ndani ya siku moja au mbili tu!

Jambo la kushangaza ni kwamba, wanawake wengi hawana knowledge ya kutosha juu ya hili suala la siku ya mimba; hasa wale ambao wana menstration cycle inayobadilikabadilika! Wao husitukia tu wameanza ku-bleed. Ndo maana hawawezi hata ku-plan kutopata mimba! Hawana ujanja kabisa ndio sababu wengi wanatumia sindano na njia zingine nyingi za artificial ambazo mwisho wa siku huwaletea matatizo ya uzazi, kwani nyingi hu-block njia ya uzazi! Nimeona wengi wenye matatizo ya uzazi unaosababishwa na hizi artificial family planning. Wengine hulazimika kwenda hospital kuzibuliwa ili wapate mimba jambo ambalo ni hatari kwa afya zao!

Mkuu Kungurumweupe
Samahani,mimi nilitaka nipate maelezo yaziada kidogo.Ivi inaweza tokea binti akapata mimba naakawa anaenda bridi bila kukoma ikiwa namaana kama bridi ilikuwa inachukua siku 5 basi inazidi, na zile tarehe ambazo huwa inatokea inabadilika?au asipate mimba lakini mara tu akaanza kwenda bridi bila kukoma?nini sababu zake,na nini kifanyike.samahani kama niatakuwa nje ya mada nilikuwa nahitaji msaada wako wamaelezo kufuatia elimu nzuri uliyonipa hapo juu.
 
Kwa mfano ulipata hedhi tarehe 27 mwez ulopita halaf ukaja sex tareh 23 au 24 mwez huu na mzunguko wako hauelewek yani kama ukianza period tareh 25 mwez 6 bas period inayofata nayo itaanza tarehe 25 au 26 au 27 au 28 mwez 7...je kuna uwezekano wa kupata mimba ktk iyo tarehe 23 au 24..?
 
Maelezo yako ya mwanzo umeya-reverse.
Ni kwamba mbegu za kiume ziko slow kwa speed wakati za kike ziko fast. Lakini life span ya mbegu za kiume ni kubwa yaani 72hrs wakati zile za kike ni 48hrs only tangu kuwa ejected.
Nimependa maelezo yako maana naona unajaribu kutengeneza possibility ya mtu kuzaa mtoto wa jinsia aitakayo.

Thanks!!!!!!!!

wewe ndo umereserve ndugu, mbegu za kike ziko slow za kiume ziko fasta siku nazo mume 48 na kike 72!
 
je kama ilitokea bahati mbaya tukashiriki tendo la ndoa siku ya mwiso ya hedhi ... na baadae siku ya saba je atapata MIMBA?
 
Mkuu Kungurumweupe
Samahani,mimi nilitaka nipate maelezo yaziada kidogo.Ivi inaweza tokea binti akapata mimba naakawa anaenda bridi bila kukoma ikiwa namaana kama bridi ilikuwa inachukua siku 5 basi inazidi, na zile tarehe ambazo huwa inatokea inabadilika?au asipate mimba lakini mara tu akaanza kwenda bridi bila kukoma?nini sababu zake,na nini kifanyike.samahani kama niatakuwa nje ya mada nilikuwa nahitaji msaada wako wamaelezo kufuatia elimu nzuri uliyonipa hapo juu.
 
Naomba kujuzwa nifanye nini ili nipate mtoto wa kike kwani sasa nina mtoto wa kiume?
 
Kula mzigo anzia siku ya 10 baada ya hedhi ila Usile mzigo siku ya 14 baada ya hedhi na ukila siku ya 14 uhakikishe unapiga bao 2 au 3 na kuendelea,
 
Njia rahisi chukua duration ya siku zako mfano mwenye cycle ya 21days chukua 21/2= 10.5, chukua 10.5+3= 13.5, 10.5-5= 5.5, therefore duration ya danger days ni kati ya siku 6 hadi siku 14. Yaani kwa mtu mwenye cycle ya 21 days anaweza kupata mimba katika hizi siku, yaani yai linaweza shuka at any time btn these days. Kumbuka mfano kwa wale wenye siku 28 huwa tunasema yai linashuka siku 14, infact yai linashuka at any time btn day 9 and 17 ukitumia formula hiyo. All the best.

formula hii inaweza kuwork kwa mizunguko yote? meaning kwa mifupi na hata ile mirefu. ila la MUHIMU pia mwanamke kabla hajaanza kutumia njia ya kalenda nilazima ahakiki kama mzunguko wake uko stable kwa miezi kadhaa mfano hata mitatu. kama unabadilika badilika nafikiri kuna uwezekano wa kupata ujauzito
 
Kwenye kichwa cha habari neno TAREHE weka iwe SIKU ya 13 hadi 14. Kama utasisitiza kuwa ni tarehe basi ujue BIRTHDAY ZOTE duniani zingekuwa kati ya tarehe hizo tu. Lakini kuna multiple births kuanzia tarehe 1 hadi 31. Hata hivyo shukrani kwa mchanganuo wake mzuri sana.


Nadhani unajua kua kila mwanamke ana kalenda yake na ni tofauti na hii tunayoitumia kujua mwaka, mwezi na siku. Hivyo haiwezekani siku za kuzaliwa zikafanana, hata hivyo ktka kujifungua pia kuna kuchelewa hadi 2wiks au kuwahi kabla ya muda kufika japo kwa wiki au siku.
 
Mkuu Mr. Kiroboto,

Naomba nitoe mifano hai kwa faida ya dada zetu na wengine:

1. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 22 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd.

Kisha ahesabu kuanzia ile 22nd day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 8th day ya kalenda yake. Hivo 8th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 22. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


2. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 28 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 14th day. Inamaana kwamba 14th day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 28. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


3. Kama mwanamke ana menstration cycle ya siku 35 inabidi afanye kama ifuatavo: Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama hapa chini:

1st
, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th, 16th, 17th, 18th, 19th, 20th, 21st, 22nd, 23rd, 24th, 25th, 26th, 27th, 28th, 29th, 30th, 31st, 32nd, 33rd, 34th, 35th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 28th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 21st day. Inamaana kwamba 21st day ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 35. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed!


4. Kama mwanamke ana abnormal menstration cycle ya siku 15 , BASI KUNAUWEZEKANO WA KUTOPATA MIMBA KABISA KAMA INAVYOONEKANA HAPA CHINI:

Kwanza itabidi atengeneze kalenda yake mwenyewe ya siku zake zote za menstration cycle kama kawaida:

1st, 2nd, 3rd, 4th, 5th, 6th, 7th, 8th, 9th, 10th, 11th, 12th, 13th, 14th, 15th.

Kisha ahesabu kuanzia ile 15th day kurudi nyuma mpaka afikishe siku 15. Ataona kuwa siku ya kumi na tano inaangukia kwenye 1st day. Inamaana kwamba, the 1st day of her bleedind ndiyo siku ya mimba kwa mwanamke yeyote ambaye ana menstration cycle ya siku 15. Akumbuke kwamba 1st day ndiyo siku anayoanza ku-bleed, na ndiyo hiyo hiyo siku ambayo mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba!

Hii inamaana kwamba, siku ambayo linaharibika lile yai la upande mmoja ndiyo siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linapevuka tayari kwa kurutubishwa. Mwanamke wa aina hii anaweza kupata mimba tu kama atakutana na mwanaume siku ile anayoanza kubleed, kwani siku ambayo yai moja linaanza kuharibika ndio siku hiyo hiyo ambayo yai la upande wa pili linakuwa tayari kurutubishwa!

Na wanawake wa kundi hili la nne ukiwauliza vizuri watakiri kwamba hawajawahi kuona au ku-feel ule ute mweupe ambao wenzao huwa wanaupata siku ile yai linapokuwa tayari kwa kurutubishwa, kwani ute wa wanawake wa kundi hili la nne huwa unachanganyikana na damu kwa vile unatoka siku ile ile wanapoanza ku-bleed. Pia wanawake wa kundi hili huwa wanatokwa na kiasi kidogo sana cha damu; na bleed hukatika ndani ya siku moja au mbili tu!

Jambo la kushangaza ni kwamba, wanawake wengi hawana knowledge ya kutosha juu ya hili suala la siku ya mimba; hasa wale ambao wana menstration cycle inayobadilikabadilika! Wao husitukia tu wameanza ku-bleed. Ndo maana hawawezi hata ku-plan kutopata mimba! Hawana ujanja kabisa ndio sababu wengi wanatumia sindano na njia zingine nyingi za artificial ambazo mwisho wa siku huwaletea matatizo ya uzazi, kwani nyingi hu-block njia ya uzazi! Nimeona wengi wenye matatizo ya uzazi unaosababishwa na hizi artificial family planning. Wengine hulazimika kwenda hospital kuzibuliwa ili wapate mimba jambo ambalo ni hatari kwa afya zao!

Full maelezo ya kujitosheleza, ukikosa kudaka au kudakisha mimba basi kuna walakini
 
Wadau, naomba elimu ya bure ya jinsi ya kupata mtoto wa kike. Je, wanandoa watumie mbinu gani ili kufanikisha jambo hili?

Nawasilisha
 
wa kike ni simple balaa! wa kiume ndio issue, nways ngoja wataalamu waje, ila we kla mzigo bila kukosa kuanzia siku ya 10 ya hedhi yai linapotoka kwenye ovaries!
 
Back
Top Bottom