Tarehe ya kuripoti chuo kwa undergraduate

p.col

Senior Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
172
Reaction score
27
Habari za ahsubuhi wana JF,mm ni muhitimu wa kidato cha 6-2014 niliye kwenye mchakato wa admission.

Naombeni kujuzwa japo kwa makadirio tu tarehe ya kuripoti chuo kwa undergraduate N:B kama zinatofautiana kulingana na chuo husika bac nijuzwe kwa UDSM, ARDHI au UDOM, (karibuni magreat thinker)
 
thanks mr.creative na flyn rider
 
daaaaah, kuuliza fununu c ujinga, mm nina II-9, B-plain zote, hivi naweza kupata wapi kati ya 1.civil udsm, 2.electrical udsm, 3.civil ardhi, 4.architecture ardhi, 5.udom? ?
 
daaaaah,kuuliza fununu c ujinga, mm nina II-9,B-plain zote,hivi naweza kupata wapi kati ya 1.civil udsm,2.electrical udsm,3.civil ardhi,4.architecture ardhi,5.udom? ?

wewe mchecheto wa nini si usubiri tcu! haraka za nini aaakha
 
Sasa ukishajua itakusaidia nin?anway serikali haina pesa,so vyuo vitafunguliwa mwezi december.

ukiacha elumu,kuna mambo mengi tu ya kijamii xo itanisaidia kupanga ratiba,
 
Itamsaidia nini?
Bora ungekaa kimya tu,
haujua kwamba kuna wengine wapo mikoani inabidi wamalizie kukusanya fedha ili waanze maandalizi ya kujiunga na masomo ya elimu ya juu!?

thanx bro,thats y JF inaitwa home of GREAT THINKERS
 
daaaaah,kuuliza fununu c ujinga, mm nina II-9,B-plain zote,hivi naweza kupata wapi kati ya 1.civil udsm,2.electrical udsm,3.civil ardhi,4.architecture ardhi,5.udom? ?

Hivi kwanini mnapenda mambo makubwa wakati point zenu mbovu?????? div 1 mwaka wenu zipo zaidi ya 4000 na unajua fika PCM hapo ni wengi tu katika kundi hilo.....daaahhh i assure you usipoenda civil ardhi(ambayo probability ni ndogo poa) basi UDOM lazima pakuhusu.......
 

nalijua hilo brother,ndio maana nilijaza hiyo UDOM,coz na penyewe pako poa tu
 
Muda wako uliopoteza JKT bora ungemsaidia shangazi yako kulisha nguruwe wake! Jifunze kuheshimu maoni ya mwenzako! Ulivyo mjinga unaona UDOM hapafai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…