Tarehe ya kuripoti waajiriwa wapya kada ya Ualimu na afya ni lini?

Tarehe ya kuripoti waajiriwa wapya kada ya Ualimu na afya ni lini?

Mbona ana mchecheto na kazi? Ngoja akajitie kimuhemuhe cha kufanya kazi kwa bidii atapunguzwa makali kibabe na wakongwe wa kazi atakaowakuta. Anauliza mshahara kwani wakati anaomba kazi hiyo hakujua ataanza kulipwa kiasi gani? Aache ulimbukeni atachekwa na kudharauliwa na wakongwe wa kazi
mwambie kijana aache wenge wenzake tokea mwaka 2008 tuko ndani ya game halafu tumetulia tuu
 
hawa madogo ajira mpya kero kweli aisee wana maswali haoo
full mipango kimoyomoyo najisemea ngoja apate salary mbili tuu watakapooanza kupoteana
 
hawa madogo ajira mpya kero kweli aisee wana maswali haoo
full mipango kimoyomoyo najisemea ngoja apate salary mbili tuu watakapooanza kupoteana
Sio madogo ni wazee Tena vzee imagine tokea 2015 nae ni dogo[emoji23]
 
Back
Top Bottom