Usahihi kuhusu tarehe ni huuMuda wote tulisheherekea Uhuru wa Tanganyika tarehe sawa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa ndiyo huwa siku ya kuzaliwa.
Naona leo Familia imemuwish mapema sana kabla ya 9 December kufika kupita
Nyongeza. Kuna mahali nilisoma Baba ya Taifa ndiye aliyekuwa msimamizi ya uabtizo wake.Usahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Sahihi, Nami pia nilisoma mahali.Baba ya Taifa ndiye aliyekuwa msimamizi ya uabtizo wake.
Happy birthday Mwamba.
Hahahaaaa! Mmawia anakwama sana MB siku hizi ndio maana nadra kuonekana!Ila chadema ina watu wajinga wajinga sana jamani!
Ukiona michango ya mtu kama mmawia humu jf unabaki kucheka tu
[emoji1533][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]Usahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Ujinga nao ni mzigo mzito, Freeman Mbowe amezaliwa mwaka 1961 mwaka ambao Tanganyika ilipata uhuru.Muda wote tulisheherekea Uhuru wa Tanganyika tarehe sawa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa ndiyo huwa siku ya kuzaliwa. Naona leo Familia imemuwish mapema sana kabla ya 9 December kufika kupita kipande cha Gazeti?
Nani aliudanganya UMMA kuwa freeman kazaliwa 9 December na Si tarehe 14 September ya leo?
View attachment 1937076
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa! Mmawia anakwama sana MB siku hizi ndio maana nadra kuonekana!
Mjinga na mpuuzi mkubwa na wakanza na wa mwishoo ni wewe, kenge mkubwa wewe.Ila chadema ina watu wajinga wajinga sana jamani!
Ukiona michango ya mtu kama mmawia humu jf unabaki kucheka tu
Nakuona bavichaMjinga na mpuuzi mkubwa na wakanza na wa mwishoo ni wewe, kenge mkubwa wewe.
Dah! Naona "umemuwahi" mnafiki kwa bonge la nyundo!Usahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Aiseee maajabu, mimi home hiko kitu hakipo na sijawahi kusikia mtu awe anasherehekea birthday yake eti kwa ubatizo.Usahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Nakuona bavicha
SwadaktaUsahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Tunakushukuru kwa kuendelea kufurahia siku ya kuzaliwa kwa Mtemi Isike au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar, ni baraka sana kwa mtu huyu kuwemo nchi hii.Muda wote tulisheherekea Uhuru wa Tanganyika tarehe sawa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa ndiyo huwa siku ya kuzaliwa. Naona leo Familia imemuwish mapema sana kabla ya 9 December kufika kupita kipande cha Gazeti?
Nani aliudanganya UMMA kuwa freeman kazaliwa 9 December na Si tarehe 14 September ya leo?
View attachment 1937076
HBDUsahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
Hilo Jina la Freeman alipewa na Mwl NyerereUsahihi kuhusu tarehe ni huu
14.9.1961 ni kuzaliwa kutoka ndani ya tumbo la mama yake. (kuzaliwa kimwili)
9.12.1961 ni siku ya ubatizo wake na kupewa jina la Freeman. (kuzaliwa kiroho)
How are you kikuyu man from gisenyi, rubavu Kenya?Hilo Jina la Freeman alipewa na Mwl Nyerere