Tarehe ya leo ya kukumbukwa sana

Tarehe ya leo ya kukumbukwa sana

Levels baby

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
831
Reaction score
770
Katika siku ambazo tumeshindwa kupumua ni leo mana tumechanganywa na vitu vingi kama watu walipangana

1. Mond na Kiba kumekucha

2. Aunt Ezekiel kufungiwa bar yake baada ya kurudiana na timu WCB.

3. Idris kuleta povu kubwa mtandaoni kwa viongozi baada ya kumtania mtukufu wa nchi.

4. Kule Jose Morinho anataka kuchukua Arsenal

5. Huku Harmonize kampigia simu mkubwa wake kukubaliana kupiga show wasafi festival

6. Kigwangala kumtetea Idris kuwa na uwezekano wa kurudisha ugomvi wake na mtoto wa mwenye nchi

7. Barabara ya Makongo imewaamsha wananchi na kumpa matumaini mtoto pendwa kuchukua jimbo kwa dada

SISI ACHA TUENDELEE KUCHEZA UNO TU
 
(kwa ufupi)Diamond alisema kuwa atamwambia meneja wake ampigie Ali kiba simu kumuomba ashiriki Wasafi festival baada ya muda Ali kiba akamjibu Diamond amkome kisha akamtagi Diamond
Sifuatiliagi udaku ila hii ya Ali na Abdul natamani kuijua vizuri.
 
Back
Top Bottom