Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Katika halmashauri za manispaa za hovyo hapa nchini nadhani ile Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza.
Nilikuwa huko kwa mapumziko ya sikukuu na nimejiuliza jee huko TARURA wapo kweli? Na jee Mkurugenzi na mhandisi wake wapo na wanalipwa mishahara?
Hata ukienda juu zaidi jee RC Mtanda naye anafanya kazi ya kukagua maeneo yaliyo ndani ya jiji au yeye yupo kupambania timu ya Pamba tuu?
Nimeshangazwa sana na barabara kubwa kama ya kutokea Pasiansi kuelekea Kiseke PPF kupitia Lumala makaburini kama KM 2 tuu ilivyo chakaa kiasi cha kutopitika kwa baadhi ya magari.
Eneo hili ni la makazi lakini mfano kunatokea ajali ya moto (GOD forbidden) hakuna gari la Fire brigade linaweza kufika kwa wakati labda kwa masaa 24, jee kuna kitu kinaweza okolewa? Hii ilikuwa iwekwe lami na kuna taarifa budget yake ilipita lakini kwa vile madiwani wa Ilemela ni mbumbumbu wao ni biashara ya viwanja tuu basi hawahoji lolote.
Huo ni mfano mmoja tuu lakini Ilemela MC ni kama imeoza tuu na mbunge wake yule ambaye pengine alipewa uwaziri kwa ukabila na hana la maana afanyalo zaidi ya kupiga majungu wenzake.
Waziri TAMISEMI iangalie hii halmashauri na TARURA yake, na naomba waliopo huko kwa sasa watupigie picha a hiyo barabara ili wahusika washtuke basi!
Maana nimesikia siku moja mabasi ya wanafunzi kidogo ya dondoke yalipokuwa yakipishana kwenye daraja lililolika upande.
Vipi hapo walisha jiandaa na kauli "bwana alitoa na alitwaa"?
Timizeni wajibu au ondokeni ofisini
Nilikuwa huko kwa mapumziko ya sikukuu na nimejiuliza jee huko TARURA wapo kweli? Na jee Mkurugenzi na mhandisi wake wapo na wanalipwa mishahara?
Hata ukienda juu zaidi jee RC Mtanda naye anafanya kazi ya kukagua maeneo yaliyo ndani ya jiji au yeye yupo kupambania timu ya Pamba tuu?
Nimeshangazwa sana na barabara kubwa kama ya kutokea Pasiansi kuelekea Kiseke PPF kupitia Lumala makaburini kama KM 2 tuu ilivyo chakaa kiasi cha kutopitika kwa baadhi ya magari.
Eneo hili ni la makazi lakini mfano kunatokea ajali ya moto (GOD forbidden) hakuna gari la Fire brigade linaweza kufika kwa wakati labda kwa masaa 24, jee kuna kitu kinaweza okolewa? Hii ilikuwa iwekwe lami na kuna taarifa budget yake ilipita lakini kwa vile madiwani wa Ilemela ni mbumbumbu wao ni biashara ya viwanja tuu basi hawahoji lolote.
Huo ni mfano mmoja tuu lakini Ilemela MC ni kama imeoza tuu na mbunge wake yule ambaye pengine alipewa uwaziri kwa ukabila na hana la maana afanyalo zaidi ya kupiga majungu wenzake.
Waziri TAMISEMI iangalie hii halmashauri na TARURA yake, na naomba waliopo huko kwa sasa watupigie picha a hiyo barabara ili wahusika washtuke basi!
Maana nimesikia siku moja mabasi ya wanafunzi kidogo ya dondoke yalipokuwa yakipishana kwenye daraja lililolika upande.
Vipi hapo walisha jiandaa na kauli "bwana alitoa na alitwaa"?
Timizeni wajibu au ondokeni ofisini