KERO TARURA Kigoma mnatia aibu na kuudhi Barabara ya Gungu mpaka njia panda ya Kigoma ma Ujiji ni kituko kwa Mkoa na Taifa kwa ujumla

KERO TARURA Kigoma mnatia aibu na kuudhi Barabara ya Gungu mpaka njia panda ya Kigoma ma Ujiji ni kituko kwa Mkoa na Taifa kwa ujumla

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Lubengera

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
963
Reaction score
1,551
Nimebahatika kufika Kigoma siku tatu zilizopita.

Nimeshindwa kuvumilia kituko cha barabara kutoka Gungu kwenda mpaka njia panda ya Kigoma mjini na Ujiji.

Lakini pia Kituko cha barabara ya Kigoma to Ujiji.

Swali langu: Ivi huo mtaro ulio katikati ya barabara mbili una kazi gani? hamuoni kama umechukua nafasi kubwa ya barabara?

Hamfahamu kama kuwepo kwa mtaro katikati ya barabara mbili kumeongeza idadi ya ajali hapo mjini?

Wewe Engineer uliye andaa hiyo BOQ, umewakosea watu wa Kigoma Mjini, nimetembea mikoa yote, hii yako ni kali!

Kwanza aina ya lami mnayo weka ni duni to the extent inakuwa kama rafu road tu.

Huu mkoa hamko Serious! Kwa Makonda huwezi kufanya kituko kama hicho akawaacha.

Ni hayo tu.
 

Attachments

  • IMG_20241231_142700.jpg
    IMG_20241231_142700.jpg
    453.8 KB · Views: 5
  • IMG_20241231_142659.jpg
    IMG_20241231_142659.jpg
    353.7 KB · Views: 5
  • IMG_20241231_142656.jpg
    IMG_20241231_142656.jpg
    322.4 KB · Views: 4
  • IMG_20241231_142546.jpg
    IMG_20241231_142546.jpg
    133 KB · Views: 8
  • IMG_20241231_142531.jpg
    IMG_20241231_142531.jpg
    351.8 KB · Views: 7
  • IMG_20241231_142439.jpg
    IMG_20241231_142439.jpg
    196.4 KB · Views: 6
  • IMG_20241231_142414.jpg
    IMG_20241231_142414.jpg
    267.2 KB · Views: 7
  • IMG_20241231_142412.jpg
    IMG_20241231_142412.jpg
    253.9 KB · Views: 6
  • IMG_20241231_142408.jpg
    IMG_20241231_142408.jpg
    200.6 KB · Views: 6
  • IMG_20241231_142406.jpg
    IMG_20241231_142406.jpg
    174.8 KB · Views: 5
  • IMG_20241231_142355.jpg
    IMG_20241231_142355.jpg
    271.9 KB · Views: 6
Tupia picha tuone vinginevyo ni majungu ya mtu mweusi
 
Nimebahatika kufika Kigoma siku tatu zilizopita.

Nimeshindwa kuvumilia kituko cha barabara kutoka Gungu kwenda mpaka njia panda ya Kigoma mjini na Ujiji.

Lakini pia Kituko cha barabara ya Kigoma to Ujiji.

Swali langu: Ivi huo mtaro ulio katikati ya barabara mbili una kazi gani? hamuoni kama umechukua nafasi kubwa ya barabara?

Hamfahamu kama kuwepo kwa mtaro katikati ya barabara mbili kumeongeza idadi ya ajali hapo mjini?

Wewe Engineer uliye andaa hiyo BOQ, umewakosea watu wa Kigoma Mjini, nimetembea mikoa yote, hii yako ni kali!

Kwanza aina ya lami mnayo weka ni duni to the extent inakuwa kama rafu road tu.

Huu mkoa hamko Serious! Kwa Makonda huwezi kufanya kituko kama hicho akawaacha.

Ni hayo tu.
Hata picha hamna
 
Hata picha hamna
Mkuu, huwezi kupiga picha barabara yote, lakini ukweli ni huo, kama kuna watu wa Kigoma humu naamini wamenielewa.

Nikupe mfano halisi.

Kwa mfano ivi, barabara kutoka Kijazi interchange kwenda Mwenge,na barabara kutoka mwenge kuja Kijazi zitenganishwe kwa mtaro,

Kwahiyo baraba inakuwa na mitaro mitatu ,(3) yana katikati mtaro mmoja na miwili pembeni mwa barabara
 
Si huo mkoa sion manufaa yake na tija kwa taifa zaid ya was wasi nao na kuzalisha viongoz wanao tuhumiwa kuwa ni wa rwanda tu si tuwaachie warwanda wauendeshe tu
 
hii nayo changamoto yaan mtaro utengenishe barabara labla wataalamu waje watusaidie ila nawaomea huruma san walevi na wasafr wa usiku
 
hii nayo changamoto yaan mtaro utengenishe barabara labla wataalamu waje watusaidie ila nawaomea huruma san walevi na wasafr wa usiku
Mkuu, wakazi wanasema ajali za kuangukia mtaroni zimeongezeka sana
 
Haya umetuletea picha sawa,tuletee na jumla ya fedha za hiyo barabara walizopewa hao TARURA na Serikali tulinganishe
Mkuu hiyo ndio RECEPTION YA MKOA, huwezi kuweka bajeti ya kuharibu muonekano wa mji, hii sio sawa.

Juhudi zilizopo Serikalini sasa ni kupendezesha miji yetu, lakin kwa Kigoma naona wanaharibu.
 
Mkuu hiyo ndio RECEPTION YA MKOA, huwezi kuweka bajeti ya kuharibu muonekano wa mji, hii sio sawa.

Juhudi zilizopo Serikalini sasa ni kupendezesha miji yetu, lakin kwa Kigoma naona wanaharibu.
Hyo barabara unayoitaka BOQ inasemaje,ipo within au imetwistiwa?
 
Hyo barabara unayoitaka BOQ inasemaje,ipo within au imetwistiwa?
Mkuu, mimi sijataka BOQ, ila nimeona barabara kama hii haipaswi kuwa katikati ya mji. Ni aibu, picha zinajionesha!

Huo mtaro wa katikati kazi yake ni nini??
 
Back
Top Bottom