TARURA Kiteto yapanga kukusanya Tsh 300 kila siku kwa bodaboda inayopaki pembezoni mwa barabara

Hii nchi inaongozwa na wagonjwa wa akili. Naanza kuamini kabisa hii nchi kuna watu hawaitakii mema kabisa.
 
Kiteto ni wilaya ya pembezoni unaweza kukuta hata bodaboda hazizidi 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…