TARURA: Kusitishwa kwa muda kwa faini za ushuru wa maengesho ya magari

TARURA: Kusitishwa kwa muda kwa faini za ushuru wa maengesho ya magari

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
TAARIFA KWA UMMA

KUSITISHA KWA MUDA UTOZAJI WA FAINI ZA USHURU WA MAEGESHO YA MAGARI​

Dodoma 8 Aprili, 2022

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 07/04/2022 Wakala wa Barabara za Vijijini na MijiniTARURA ilitoa taarifa ya kuanza kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho waliopitisha Siku 14 bila kulipa madeni ya Ushuru wa Maegesho kwa madeni ya kuanzia tarehe 01/03/2022.

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), baada ya kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwa wadau mbalimbali wa Maegesho ya Magari kupitia matumizi ya Mfumo wa TeRMIS umeongeza muda wa kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya Mfumo huu wa kielektroniki.

Kutokana na kuongeza muda wa utoaji elimu kwa wananchi, utozaji wa faini za kuanzia tarehe 01 Machi 2022 unasitishwa kwa muda kuanzia leo tarehe 08/04/2022 mpaka akapoelezwa tena.

TARURA inaendelea kuwasisitza Wananchi kuendelea kulipa ushuru wa Maegesho kwa wakati, yaani ndani ya siku 14 tangu walipotumia Maegesho, kama inavyoelekezwa katika Kanuni za Maegesho, Tangazo la Serikali Na 799 la tarehe 3, Desemba 2021.

Mfumo wa TeRMIS unatoa nafasi ya kupata taarifa za kumbukumbu za madeni ya Ushuru wa Maegesho kupitia Simu zao za mikononi, kupitia Apps za TeRMIS na "GePG zinazopatikana Playstore na Apple Store (kwa GePG pekee)

Aidha, Huduma hii ya Malipo ya Maegesho ya Magari kwa Ki-elektroniki (TERMIS), inapatikana kupitia *152*00#, chagua 4 (Nishati, Madini na Usafiri), chagua 2 (TARURA) halafu chagua 3 (kujisajili), halafu weka namba ya gari lako. ERMIS)

Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano



1649409192825.png


Wadau waliwahi kuhoji na kushauri
 
Hawa jamaa ni mandazi. Wanasema kupaki 5 minutes hawakudai lkn ukishaweka gari yule mdada anakuja anakimbia utadhani anakwepa fumanizi, af anakutwanga parking fee.
Very hopeless!
 
TARURA waachane na huu wizi wa mchana kweupe, kama wapo serious wajenge hizo parking ambazo wanataka walipwe..........siyo kuvizia magari ya watu mitaani na kubambikiza tozo. Mbona pale mlimani city watu wanalipia parking bila shida, wao kwa nini wakusanye maeneo ambayo hawajawekeza hadi kwenye maeneo ya watu binafsi wao wanatoza parking. Hivi inaingia akilini, maeneo ya mbele ya biashara za watu TARURA mnatoza parking fee, utadhani hayo maeneo mnayamiliki nyinyi........kwa hiyo ukihitaji kuingia kupata huduma madukani gari tuwe tunabeba mgongoni!!?
 
Word.
TARURA waachane na huu wizi wa mchana kweupe, kama wapo serious wajenge hizo parking ambazo wanataka walipwe..........siyo kuvizia magari ya watu mitaani na kubambikiza tozo. Mbona pale mlimani city watu wanalipia parking bila shida, wao kwa nini wakusanye maeneo ambayo hawajawekeza hadi kwenye maeneo ya watu binafsi wao wanatoza parking. Hivi inaingia akilini, maeneo ya mbele ya biashara za watu TARURA mnatoza parking fee, utadhani hayo maeneo mnayamiliki nyinyi........kwa hiyo ukihitaji kuingia kupata huduma madukani gari tuwe tunabeba mgongoni!!?
 
TARURA waachane na huu wizi wa mchana kweupe, kama wapo serious wajenge hizo parking ambazo wanataka walipwe..........siyo kuvizia magari ya watu mitaani na kubambikiza tozo. Mbona pale mlimani city watu wanalipia parking bila shida, wao kwa nini wakusanye maeneo ambayo hawajawekeza hadi kwenye maeneo ya watu binafsi wao wanatoza parking. Hivi inaingia akilini, maeneo ya mbele ya biashara za watu TARURA mnatoza parking fee, utadhani hayo maeneo mnayamiliki nyinyi........kwa hiyo ukihitaji kuingia kupata huduma madukani gari tuwe tunabeba mgongoni!!?
Waizi tu hao. Hamna hata parking moja walio jenga. Kazi ni kuvizia magari kila kukicha. Wanataka hela za bure tu.
 
Mie nilitozwa mia 3 kwa saa hapa Tanga, wakati nalipa mfumo unakataa, unataka nilipe mia 5, bado sijaelewa imekuwaje tena!
 
Ni kuviziana na kuibiana tu,
Na serikali ipo na inaona lakini ipo kimya,
Tutakuwa tukipaki tunaondoka na plate namba tuone watapiga picha mananihii yao
 
Waizi tu hao. Hamna hata parking moja walio jenga. Kazi ni kuvizia magari kila kukicha. Wanataka hela za bure tu.
Ndiyo nlikuwa nasema
Wangejenga/wangeweka mazingira
Mazuri ya watu wapaki
Lakini hii kuvizia gari limepaki unamcharge hela siyo sawa

Ova
 
Mfumo wa Kijambazi..... unakuwa kama tochi za barabarani.... Yaani unaandikiwa bila hata kupewa info..

Ilitakiwa wawe wanauliza hata namba ya simu iwe sehemu ya details wanayochukua wanapoandika hio fine ( at least kuwe na communication baina ya mwandikaji na dereva).... Nina fine ambazo hata sifahamu waliandika wapi coz details zenyewe hata hazitoshelezi
 
TAARIFA KWA UMMA

KUSITISHA KWA MUDA UTOZAJI WA FAINI ZA USHURU WA MAEGESHO YA MAGARI​

Dodoma 8 Aprili, 2022

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 07/04/2022 Wakala wa Barabara za Vijijini na MijiniTARURA ilitoa taarifa ya kuanza kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho waliopitisha Siku 14 bila kulipa madeni ya Ushuru wa Maegesho kwa madeni ya kuanzia tarehe 01/03/2022.

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), baada ya kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwa wadau mbalimbali wa Maegesho ya Magari kupitia matumizi ya Mfumo wa TeRMIS umeongeza muda wa kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya Mfumo huu wa kielektroniki.

Kutokana na kuongeza muda wa utoaji elimu kwa wananchi, utozaji wa faini za kuanzia tarehe 01 Machi 2022 unasitishwa kwa muda kuanzia leo tarehe 08/04/2022 mpaka akapoelezwa tena.

TARURA inaendelea kuwasisitza Wananchi kuendelea kulipa ushuru wa Maegesho kwa wakati, yaani ndani ya siku 14 tangu walipotumia Maegesho, kama inavyoelekezwa katika Kanuni za Maegesho, Tangazo la Serikali Na 799 la tarehe 3, Desemba 2021.

Mfumo wa TeRMIS unatoa nafasi ya kupata taarifa za kumbukumbu za madeni ya Ushuru wa Maegesho kupitia Simu zao za mikononi, kupitia Apps za TeRMIS na "GePG zinazopatikana Playstore na Apple Store (kwa GePG pekee)

Aidha, Huduma hii ya Malipo ya Maegesho ya Magari kwa Ki-elektroniki (TERMIS), inapatikana kupitia *152*00#, chagua 4 (Nishati, Madini na Usafiri), chagua 2 (TARURA) halafu chagua 3 (kujisajili), halafu weka namba ya gari lako. ERMIS)

Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano



View attachment 2180278

Wadau waliwahi kuhoji na kushauri
Serikali yenye upumbavu mtupu kuna tofauti gani na kodi ya kichwa
 
TAARIFA KWA UMMA

KUSITISHA KWA MUDA UTOZAJI WA FAINI ZA USHURU WA MAEGESHO YA MAGARI​

Dodoma 8 Aprili, 2022

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 07/04/2022 Wakala wa Barabara za Vijijini na MijiniTARURA ilitoa taarifa ya kuanza kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho waliopitisha Siku 14 bila kulipa madeni ya Ushuru wa Maegesho kwa madeni ya kuanzia tarehe 01/03/2022.

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), baada ya kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwa wadau mbalimbali wa Maegesho ya Magari kupitia matumizi ya Mfumo wa TeRMIS umeongeza muda wa kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya Mfumo huu wa kielektroniki.

Kutokana na kuongeza muda wa utoaji elimu kwa wananchi, utozaji wa faini za kuanzia tarehe 01 Machi 2022 unasitishwa kwa muda kuanzia leo tarehe 08/04/2022 mpaka akapoelezwa tena.

TARURA inaendelea kuwasisitza Wananchi kuendelea kulipa ushuru wa Maegesho kwa wakati, yaani ndani ya siku 14 tangu walipotumia Maegesho, kama inavyoelekezwa katika Kanuni za Maegesho, Tangazo la Serikali Na 799 la tarehe 3, Desemba 2021.

Mfumo wa TeRMIS unatoa nafasi ya kupata taarifa za kumbukumbu za madeni ya Ushuru wa Maegesho kupitia Simu zao za mikononi, kupitia Apps za TeRMIS na "GePG zinazopatikana Playstore na Apple Store (kwa GePG pekee)

Aidha, Huduma hii ya Malipo ya Maegesho ya Magari kwa Ki-elektroniki (TERMIS), inapatikana kupitia *152*00#, chagua 4 (Nishati, Madini na Usafiri), chagua 2 (TARURA) halafu chagua 3 (kujisajili), halafu weka namba ya gari lako. ERMIS)

Imetolewa na
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano



View attachment 2180278

Wadau waliwahi kuhoji na kushauri
TARURA naona kazi imewashinda. Hii ni mara ya pili mme fail mpaka waziri anaingilia. Naona neno 'innovation' does not exist in your vocabulary.
 
Back
Top Bottom