fire and fury
Member
- Jan 8, 2018
- 12
- 2
Mwezi wa sita sasa mkandarasi anawejenga njia ya maji taka hajafika hata mita mia. Inasemakana analindwa na wakubwa.
Kachimba Mashimo mpaka kuta za fence za wakazi zinaanza kubomoka na hakuna kazi inayoendelea.
Akiulizwa anasema yeye anakula na wakubwa hakuna wa kumgusa.
Nchi hii imerudi kwenye uozo.
Kachimba Mashimo mpaka kuta za fence za wakazi zinaanza kubomoka na hakuna kazi inayoendelea.
Akiulizwa anasema yeye anakula na wakubwa hakuna wa kumgusa.
Nchi hii imerudi kwenye uozo.