Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu pole na kazi.
Kuna baadhi ya members wamekua wakilalamika kwamba, wakicheki deni la parking ya gari kwenye website ya TARURA, wanakuta madeni ya sehemu ambayo hawajawahi ata kupeleka gari. Wengi tulidhani wanatania au ni mara moja au mbili tu.
Leo kuna mfanyakazi mwenzangu anasema amekamatwa na watu wa TARURA kwasababu ana madeni ya parking, elfu 60. Nikajiuliza kwa parking ya 500 kwa saa, hadi inafika 60,000 ulipark wapi na tokea lini? Nikapotezea.
Sasa nikasema na mimi ngoja nicheki kama nadaiwa. Aisee, nimekutwa nadaiwa 12,000 na list ya parking areas ambazo ata sizijui ni wapi. Serious zote nimebambikiwa sijawahi park ilo eneo.
Hawa vijana mnaowapa vishkwambi watembee navyo, nasikia mnawapangia mahesabu, kwamba kila mtu lazima atimize hesabu ya boss. Shida inakuja hawaendi site, wanachofanya wanakaa ndani na kuanza kusuka mkeka. Aisee hii tumefika pabaya.
Tafuteni njia nyingine ya kutunyonya aisee hii mbaya sana, na simu za customer care hampokei, mnakera sana na acheni tamaa za kiwaki. Nawatakia mabaya nyinyi na vizazi vyenu wafanyakazi wote wa hii department, hadi vizazi vya mifugo yenu. Mnatamaa za ajabu sana.
Kuna baadhi ya members wamekua wakilalamika kwamba, wakicheki deni la parking ya gari kwenye website ya TARURA, wanakuta madeni ya sehemu ambayo hawajawahi ata kupeleka gari. Wengi tulidhani wanatania au ni mara moja au mbili tu.
Leo kuna mfanyakazi mwenzangu anasema amekamatwa na watu wa TARURA kwasababu ana madeni ya parking, elfu 60. Nikajiuliza kwa parking ya 500 kwa saa, hadi inafika 60,000 ulipark wapi na tokea lini? Nikapotezea.
Sasa nikasema na mimi ngoja nicheki kama nadaiwa. Aisee, nimekutwa nadaiwa 12,000 na list ya parking areas ambazo ata sizijui ni wapi. Serious zote nimebambikiwa sijawahi park ilo eneo.
Hawa vijana mnaowapa vishkwambi watembee navyo, nasikia mnawapangia mahesabu, kwamba kila mtu lazima atimize hesabu ya boss. Shida inakuja hawaendi site, wanachofanya wanakaa ndani na kuanza kusuka mkeka. Aisee hii tumefika pabaya.
Tafuteni njia nyingine ya kutunyonya aisee hii mbaya sana, na simu za customer care hampokei, mnakera sana na acheni tamaa za kiwaki. Nawatakia mabaya nyinyi na vizazi vyenu wafanyakazi wote wa hii department, hadi vizazi vya mifugo yenu. Mnatamaa za ajabu sana.