Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Wanajamvi ngoja nilibwage, Barabara inayotoka Kwenye mataa jirani na Stendi ya Mabasi kuelelekea Uwanja wa Alhasan Mwinyi ni imeharibika kwa kuwa na mashimo jambo ambalo linaleta adha kwa watumiaji
Nimeshuhudia mara kadhaa watumiaji wa ile barabara ambao wengi ni waendesha baiskeli wanaokuwa wamepakia abiria wakiwa wanataka kugongana na waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda sababu ikiwa ni kila mmoja kukwepa mashimo yaliyojaa kwenye ile barabara
Kwa mantiki hiyo Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wanatakiwa kuifanyia ukarabati ili angalau hiyo kero iondoke au mpaka watu wagongane wafe ndio wachukue hatua? Kwenu wanajamvi.
Nimeshuhudia mara kadhaa watumiaji wa ile barabara ambao wengi ni waendesha baiskeli wanaokuwa wamepakia abiria wakiwa wanataka kugongana na waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda sababu ikiwa ni kila mmoja kukwepa mashimo yaliyojaa kwenye ile barabara
Kwa mantiki hiyo Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wanatakiwa kuifanyia ukarabati ili angalau hiyo kero iondoke au mpaka watu wagongane wafe ndio wachukue hatua? Kwenu wanajamvi.