TASAF walengwa hawafikiwi na misaada kwanini?

TASAF walengwa hawafikiwi na misaada kwanini?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Tasaf mmekuwa kero sana kwa wananchi hasa vijijini mnaandika majina yenu ndio mnakuwa mnapokea ninyi hii sio sawa hata kidogo jana nimeshuhudia mwananch akirudi analia baada ya kwenda kupokea fedha za TASAF alitakiwa kupokea 30000 lakini kakatwa pesa kabakia 12000 je hii ni sawa wahusika?

Fedha za Tasaf zinamakato pia? Walengwa hawafikiwi na misaada badala yake ninyi mabos ndio mnakuwa wanufaika hiyo sio sawa

Mnatumia kigezo gani kuandikisha watu?
Mwananchi ana kuku tu na nimasikini lakini mnaona hali yake lakini mnakata kuandikisha mnaenda kwa watoto kuwaandikisha ili mpate na ninyi chajuu ina maana gani kuwepo kwa tasaf?

Pia policy ya wazee kuhusu matibabu imeelezea kabisa lakini hao wazee hawapati izo huduma kwanini msiunde sheria na waziri husika unalijua ilo na umekaa kimya au kisa ninyi kwenye familia zenu hamna shida kabisa hii haijakaa sawa

Watu wa utafiti uko serikalini wanatafiti nini? Mbona matatizo uko vijijini yamekuwa mengi na hakuna matatuzi mtu anakufa uku ana bima ya afya manesi hawatak bima wanataka pesa kwanini huu utaratibu munautoa wapi? Niny ndugu zenu wakigua teyar mmewakimbiza nje na hawa masikini wanasaidiwa na nani?

===
Pia soma Waziri Simbachawene ashtuka, aagiza uchunguzi fedha za TASAF
 
Hellow

Tasaf mmekuwa kero sana kwa wananchi hasa vijijini mnaandika majina yenu ndio mnakuwa mnapokea ninyi hii sio sawa hata kidogo jana nimeshuhudia mwananch akirudi analia baada ya kwenda kupokea fedha za TASAF alitakiwa kupokea 30000 lakini kakatwa pesa kabakia 12000 je hii ni sawa wahusika?

Fedha za Tasaf zinamakato pia? Walengwa hawafikiwi na misaada badala yake ninyi mabos ndio mnakuwa wanufaika hiyo sio sawa

Mnatumia kigezo gani kuandikisha watu?
Mwananchi ana kuku tu na nimasikini lakini mnaona hali yake lakini mnakata kuandikisha mnaenda kwa watoto kuwaandikisha ili mpate na ninyi chajuu ina maana gani kuwepo kwa tasaf?

Pia policy ya wazee kuhusu matibabu imeelezea kabisa lakini hao wazee hawapati izo huduma kwanini msiunde sheria na waziri husika unalijua ilo na umekaa kimya au kisa ninyi kwenye familia zenu hamna shida kabisa hii haijakaa sawa

Watu wa utafiti uko serikalini wanatafiti nini? Mbona matatizo uko vijijini yamekuwa mengi na hakuna matatuzi mtu anakufa uku ana bima ya afya manesi hawatak bima wanataka pesa kwanini huu utaratibu munautoa wapi? Niny ndugu zenu wakigua teyar mmewakimbiza nje na hawa masikini wanasaidiwa na nan?
Mambo vp??
Tasaf NDIO nini....?

Nimekumbuka aisee kitambo aisee hatujawasiliana??
 
Tumeshauri humu; huu mpango wa tasaf usitishwe, ufanyike upembuzi kujua nchi ina wazee wangapi above 60 wasio na social security cover, na bila njia nyingine za kuingiza kipato ndio wawe wanufaika wa tasaf but nobody cares.

Kuna wanufaika wa tasaf vijana wenye nguvu ya kufanya kazi wanaopokea hiyo pesa na kuishia kwenye ulevi.
 
Tumeshauri humu; huu mpango wa tasaf usitishwe, ufanyike upembuzi kujua nchi ina wazee wangapi above 60 wasio na social security cover, na bila njia nyingine za kuingiza kipato ndio wawe wanufaika wa tasaf but nobody cares.

Kuna wanufaika wa tasaf vijana wenye nguvu ya kufanya kazi wanaopokea hiyo pesa na kuishia kwenye ulevi.
Tena wanafunzi ndio wanapewa 10000 is ishirini wanagawana wakifanya ivyo kwa watu 70 kwa siku wana bei gani?
Na sio kwamba wahusika hawajui kama kuna upigwaji wanajua ila wanalindana hii sio sawa kwa mustabari wa nchi
 
Aisee, watu wanapiga hadi hela za TASAF!! Mwogopeni Mungu jamani😪
Ina maan hujui hakuna uongo hapa kaka uko kijijini watu wanalia na pesa za TASAF mtu anapokea 3000 kwa miezi mitatu bado wanakatwa et wanasema wanakata kodi kodi ipi kwenye tasaf ambayo inakatwa?


Yaani unakuja kunipa msaada na bado unanikata hela et kodi au nauli yako ulio tumia kuniletea msaada hii.sawa?
 
Back
Top Bottom