[emoji23] [emoji23] unamkumbuka yule jamaa aliyeweka picha yakeNipe namba yako mrembo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kabla sijabugia sumu ya mende.
Ndiyo utajua tofauti kati ya me na ke.[emoji23] [emoji23] unamkumbuka yule jamaa aliyeweka picha yake
Naona leo Natasha kapokelewa vizuri
Hahaha na kweli hii tofauti leo naona sifa zinamwagwa tuNdiyo utajua tofauti kati ya me na ke.
Niliomba subscription ya jukwaa zima la new comer..Hivi Mkuu huwa unajua vipi kwamba leo kuna mgeni wa KE jf? au una NEW COMER DETECTOR MACHINE?....yaani hakuna KE ambaye hukumkaribisha😀😀😀😀😀Ngoja niendelee kufikiri kwa nini umeniitia hii fursa maana ukiona fisi anakuletea mifupa basi ujue kuna hali ya hatari....sii jambo la kawaida kutokea
Hahaha mimi mwenyewe najitoa jombaaaUncle kama ile theory ya proportionality ni kweli,....najitoa kwenye mashindano.
Ohooooo.....[emoji134] [emoji134]Karibu tasha ,ila kuna ndugu yangu alisema eti ukitaka kujua size angalia mdomo ,nimejikuta tu naishiwa nguvu baada ya kuangalia mdomo
Kuna jamaa wa Geita sikumbuki vizuri maeneo gani, aliwahi kutupia nyago humu aiseeee......KUNA MADADA HUMU WATAKUWA WABAYA SURA HAWAWEKI PICHA ZAO KWENYE AVATAR BIG UP NATASHA KWAKUJIKUBALI
Nasisi ni watoto wenzie, ndio maana amekuja kucheza na sisi..[emoji39] [emoji39]NAOMBA TULINDE HAKI YA MTOTO...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] unamkumbuka yule jamaa aliyeweka picha yake
Naona leo Natasha kapokelewa vizuri
Mkuu we kiboko sio kwa utoto huo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasisi ni watoto wenzie, ndio maana amekuja kucheza na sisi..[emoji39] [emoji39]
Mpaka jamaa alipaniki hahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ndio jf mkuu, tuna jali sana jinsia pendwa hasa tukiwa nyuma ya keyboardsKuna jamaa alitupia picha.. akaitwa mshamba... ila huyu demu kila mtu anaona alichokifanya ni sawa..