Tasher

Je umebahatika kumiliki simu? Kama ndio embu fanya mkakati wa kuinipa hiyo namba tuone kama lolote laweza tokea
 
Kuna jamaa alitupia picha.. akaitwa mshamba... ila huyu demu kila mtu anaona alichokifanya ni sawa..
 
Niliomba subscription ya jukwaa zima la new comer..
 
I am humbled you knw? karibu bibie.
 
KUNA MADADA HUMU WATAKUWA WABAYA SURA HAWAWEKI PICHA ZAO KWENYE AVATAR BIG UP NATASHA KWAKUJIKUBALI
Kuna jamaa wa Geita sikumbuki vizuri maeneo gani, aliwahi kutupia nyago humu aiseeee......
Alishambuliwa kana kwamba paka mwizi, na fully kuzodolewa aiseeee, jamaa alichambuliwa kama mchele vile na mbaya zaidi wanaume ndio walikua wauaji wake wakubwa
 
Kuna jamaa alitupia picha.. akaitwa mshamba... ila huyu demu kila mtu anaona alichokifanya ni sawa..
Hii ndio jf mkuu, tuna jali sana jinsia pendwa hasa tukiwa nyuma ya keyboards
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…