JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,011
- 1,681
Hello Wakuu,
Leo katika pita pita zangu Nimepita katika Page ya Kituo kimoja cha Radio huko mtwara. Nimekutana na hii Habari iliyoandikwa na kupostiwa kwenye page yao kama nilivyo ambatabisha picha hapo chini.
Kwa kweli Uandishi wa aina hii ni Aibu kwa tasnia ya Habari.
Leo katika pita pita zangu Nimepita katika Page ya Kituo kimoja cha Radio huko mtwara. Nimekutana na hii Habari iliyoandikwa na kupostiwa kwenye page yao kama nilivyo ambatabisha picha hapo chini.
Kwa kweli Uandishi wa aina hii ni Aibu kwa tasnia ya Habari.