kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Utakula Bata bongo 🤣🤣🤣🤣🪑🪑🪑🎶🎶📌Nahisi mfumo wa maisha yao unawaweka hatarini.
Wanaishi maisha ya bata sana maana kazi yap haiwafanyi wawe busy.
Kazini huwa wanaingia muda wa vipindi vyao tu. Na vikimalizika wanaenda kula bata
Unatakiwa ufanye research kabla ya kuandika hivi. Wanahabari ni watu wanaojulika na watu wengi , hivyo vifo vyao ni lazima vitajulikana na watu wengi.Wanahabari
Isack gamba, ahmed juma baragaza, fredwaa, ephraim kibonde, agnes almasy, samadu hassan, gardner g habash, prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo...
Umri mdogo ni kuanzia miaka mingapi mkuu, ripWanahabari
Isack gamba, ahmed juma baragaza, fredwaa, ephraim kibonde, agnes almasy, samadu hassan, gardner g habash, prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo...
Hili ndio jibu sema wao wanajulikana maana tumezoea kuwaona kwenye tv ila kwenye tasnia zote watu wanakata moto daily life span ya mtz wanasema huwa ni 45 na zaidi kidogoMkuu hata mtaani watu wanakufa Sana kwa umri huo below 50 yrs ni kwakuwa sio famous huwezi kuwajua...
Kutoboa 50 inakuwa ngumu Sana kutokana na lifestyle waliyoishi nyuma
Umri mdogo? Huo umri mdogo huanzia miaka mingapi hadi mingapi?Ni sawa na kutueleza kwamba watu wenye albinism huwa hawafi.Wanahabari
Isack gamba, ahmed juma baragaza, fredwaa, ephraim kibonde, agnes almasy, samadu hassan, gardner g habash, prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo...
Babu yangu alinijuza kama utaweza kuficha sura yako na sauti...angalau utakuwa salama katika huu ulimwengu wa washirikina.Wanahabari,
Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo.
Inaweza ikawa ni kawaida au isiwe kawaida hasa tukifanya ulinganifu na tasnia nyingine ambazo ni siasa, biashara, sanaa na michezo n.k.
Kama sio kawaida tatizo ni nini? Je? Ni lifestyle, kukosa mazoezi au kuondoana mapema? So much confusing.