Katika Afrika Mashariki ,watu wengi hupenda huu mchezo
Kwa ranki za kimataifa Afrika mashariki kwa timu ni uganda inayoongoza,ila kwa vilabu bado soka la Tanzania lina ushindani mkubwa , uwekezaji na wafatiliaji wengi kuliko nchi zote.Kwa upande wa Kenya mambo bado si mazuri inahitaji nguu kubwa na uwekezaji mkubwa
Rai yangu makampuni ya Afrika Mashariki yalione hili na kujikita kuwekeza na kujitangaza kupitia mpira .
Karibuni kwa maoni mbali mbali
Kwa ranki za kimataifa Afrika mashariki kwa timu ni uganda inayoongoza,ila kwa vilabu bado soka la Tanzania lina ushindani mkubwa , uwekezaji na wafatiliaji wengi kuliko nchi zote.Kwa upande wa Kenya mambo bado si mazuri inahitaji nguu kubwa na uwekezaji mkubwa
Rai yangu makampuni ya Afrika Mashariki yalione hili na kujikita kuwekeza na kujitangaza kupitia mpira .
Karibuni kwa maoni mbali mbali