Taswira nyuma ya kinyago

Taswira nyuma ya kinyago

mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!
.
Mkwe kama mkwe
Bubu
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!

Hiyo SMG yenye kutu na haijawekewa oili kwa karne haifanyi kazi tena; ni mbwembwe tu lakini huenda haina hata risasi.
View attachment 3072162
Hii kipande naomba kuwa jirani yako Mshana. Tutaroga kwa kwenda mbele
😀😀💪🏿
20240817_034953.jpg
 
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!
.
Mkwe kama mkwe
Bubu
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!

Hiyo SMG yenye kutu na haijawekewa oili kwa karne haifanyi kazi tena; ni mbwembwe tu lakini huenda haina hata risasi.
View attachment 3072162
Hii kipande naomba kuwa jirani yako Mshana. Tutaroga kwa kwenda mbele
😀😀💪🏿
Screenshots_2024-08-17-05-49-27.png
 
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!
.
Mkwe kama mkwe
Bubu
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!

Hiyo SMG yenye kutu na haijawekewa oili kwa karne haifanyi kazi tena; ni mbwembwe tu lakini huenda haina hata risasi.
View attachment 3072162
Hii kipande naomba kuwa jirani yako Mshana. Tutaroga kwa kwenda mbele
😀😀💪🏿
Hahahahahaha
 
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!
.
Mkwe kama mkwe
Bubu
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!

Hiyo SMG yenye kutu na haijawekewa oili kwa karne haifanyi kazi tena; ni mbwembwe tu lakini huenda haina hata risasi.
View attachment 3072162
Hii kipande naomba kuwa jirani yako Mshana. Tutaroga kwa kwenda mbele
😀😀💪🏿
Hahhaa
Mtaalamu wa ku-decode anahitajika tafadhali sijang'amua kitu
 
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!
.
Mkwe kama mkwe
Bubu
mwambie mkwe amtaje huyo nyuma ya kinyago au nae anaogopa! kama anaogopa basi unamkwe muoga sana mnyang'anye huo ukwe!

Hiyo SMG yenye kutu na haijawekewa oili kwa karne haifanyi kazi tena; ni mbwembwe tu lakini huenda haina hata risasi.
View attachment 3072162
Hii kipande naomba kuwa jirani yako Mshana. Tutaroga kwa kwenda mbele
😀😀💪🏿
Hahhaa
Mtaalamu wa ku-decode anahitajika tafadhali sijang'amua kitu
 
downloadfile.jpg
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    51.4 KB · Views: 5
Hakuna linaloshindikana kwenye kijiji chenye Wazee na Taifa bora lenye msingi wa kikatiba na utawala wa sheria huthamini Utawala Bora na usalama wa Raia....Tuzungumze pamoja na kutafuta suluhisho endelevu la pamoja. Ni tarehe 5 Oktoba pale Ubungo plaza....Tusipozungumza kama wenye hekima tutaangamia kama wapumbavu
20241002_091214.jpg
 
1.Unamteka mtoto wa kike kwa mtutu wa bunduki

2.Kundi la wanaume saba wakatili mnakubali kwenda kumteka, kumdalilisha, kumnyanyasa na kutweza utu wa mwanamke kwa ujira wa fedha?

3.Mnafunga kitambaa usoni mwanamke kisha mnamtoa nyumbani kwake Kibiti mnamsafirisha hadi mapori ya Kisarawe kwenda kumnyanyasa na kumfanyia ukatili

4.Mnajitambulisha kuwa ni maafisa wa chombo cha dola kisha mnatumia gari la kodi za wananchi, pingu na bunduki zilizonunuliwa kwa kodi zetu.

5.Mnachana nguo za mwanamke aliyefunzwa kujistiri kwa dini yake safi ya kiislamu tangu utotoni na kumuacha utupu.

6.Mwanamke mmoja anashirikiana na wanaume saba kumshambulia na kumdhalilisha mwanamke mwenzake kwa ujira wa pesa tu

7.Mmemaliza kumfanyia ukatili Mwanamke mnamtekeleza maporini mnaondoka na kujiona wajanja... mnajiona mmeyapatia maisha kweli.

8.Nawakumbusha yupo Mungu juu anayeona kila kitu muda wote na sehemu zote. Ipo siku kabla hamjazikwa na kufukiwa na udongo huu mnaotumia kumwaga damu, mtakumbushwa kila tukio moja mlilotenda.

9.Nawaonea huruma ninyi watekaji na wauaji, kwa kuwa najua hamjui watu makatili kama ninyi mwisho wenu unakuwaga vipi.

10.Lakini niwahakikishie akili za upinzani na harakati hazizimwi kwa mtutu wa bunduki na kufuli la Jela tulifikiri mmejifunza kwa Hayati Magufuli

Hamtoweza kuua watu wote,wapo watakaobaki nyuma yetu,wao watatulipia visasi vyetu.hilo mnatakiwa kulielewa siku zote.

Hakunaga Jambo linafanywa na watu zaidi ya wawili likabakia kuwa siri.
Credit: Boni yai Twitter
20241023_051623.jpg
 
Back
Top Bottom