ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Coach Saed Ramovic Sasa tumeanza kumwelewa
Wachezaji wa Yanga wameongeza fitness
Prince Dube
Hat trick ya kwanza kwenye NBC pl mwaka huu, nilimwambia ni suala la muda
Sasa naamini tumemwona top scorer wa ligi, sio mpaka avizie kufunga penalties
Job & Bacca
Wamefanya vyema kama kawaida Yao, wametia mchezo mzuri
Duke, Sure boy, mudathir
Wamecheza wastani, hawakucheza vizuri wala vibaya
Aucho
Huyu mchezaji naona kama ana uchovu, hana ule uchangamfu na uharaka,
Uongozi uingie sokoni utuletee mkabaji
Azizi ki
Amekuwa na fitness Leo sio kama siku za nyuma, naamini atarudi kwenye kiwango chake,
Pacome
Amecheza vizuri na ametoa assist nzuri
Kohmen
Huyu goal keeper namuamini,
Leo hakuwa na mchezo mzuri kabisa, ndo mpira ulivo ameruhusu goli zote za kizembe lakini ni kati goal keeper mzuri mno
NB: Tusiringanishe Mashujaa na Ken Gold, wale wanashika mkia
Yanga bingwa
Wachezaji wa Yanga wameongeza fitness
Prince Dube
Hat trick ya kwanza kwenye NBC pl mwaka huu, nilimwambia ni suala la muda
Sasa naamini tumemwona top scorer wa ligi, sio mpaka avizie kufunga penalties
Job & Bacca
Wamefanya vyema kama kawaida Yao, wametia mchezo mzuri
Duke, Sure boy, mudathir
Wamecheza wastani, hawakucheza vizuri wala vibaya
Aucho
Huyu mchezaji naona kama ana uchovu, hana ule uchangamfu na uharaka,
Uongozi uingie sokoni utuletee mkabaji
Azizi ki
Amekuwa na fitness Leo sio kama siku za nyuma, naamini atarudi kwenye kiwango chake,
Pacome
Amecheza vizuri na ametoa assist nzuri
Kohmen
Huyu goal keeper namuamini,
Leo hakuwa na mchezo mzuri kabisa, ndo mpira ulivo ameruhusu goli zote za kizembe lakini ni kati goal keeper mzuri mno
NB: Tusiringanishe Mashujaa na Ken Gold, wale wanashika mkia
Yanga bingwa