McCollum
JF-Expert Member
- Jan 10, 2023
- 384
- 684
Nawapa salamu wanajukwaa, wala tusitumie muda mwingi sana tuingie moja kwa moja kwenye mada tajwa.
Baada ya Baraza la mitihani la Taifa-NECTA kutangaza matokeo ya kidato cha nne ambayo yametoka siku ya leo-29 Jan 2023, nimeona niunganishe na yale matokeo ya kidato cha Pili ambayo yaliwahi kutoka.
Kwa bahati mbaya licha ya kwamba mambo yanaonekana kuwa mazuri, lakini bado safari ya masomo ya Sayansi kwa Tanzania bado ni ngumu. Masomo mama katika Sayansi kama Hisabati, Fizikia, Kemia, Biolojia bado yanaendelea kuwatesa sana wanafunzi. Kuna shule wanafunzi 13 out of 151 ndio waliofaulu somo la Hesabu, tena katika hizo pass 13 pass 9 ni za daraja D.
Kama mdau wa Elimu ya miaka ya sasa, je, unahisi shida ipo wapi? Je, ni wazazi, walimu, wanafunzi au mfumo mzima ambao umeshindwa kuandaa wanafunzi katika ubora wao?
Naomba kuwasilisha
Baada ya Baraza la mitihani la Taifa-NECTA kutangaza matokeo ya kidato cha nne ambayo yametoka siku ya leo-29 Jan 2023, nimeona niunganishe na yale matokeo ya kidato cha Pili ambayo yaliwahi kutoka.
Kwa bahati mbaya licha ya kwamba mambo yanaonekana kuwa mazuri, lakini bado safari ya masomo ya Sayansi kwa Tanzania bado ni ngumu. Masomo mama katika Sayansi kama Hisabati, Fizikia, Kemia, Biolojia bado yanaendelea kuwatesa sana wanafunzi. Kuna shule wanafunzi 13 out of 151 ndio waliofaulu somo la Hesabu, tena katika hizo pass 13 pass 9 ni za daraja D.
Kama mdau wa Elimu ya miaka ya sasa, je, unahisi shida ipo wapi? Je, ni wazazi, walimu, wanafunzi au mfumo mzima ambao umeshindwa kuandaa wanafunzi katika ubora wao?
Naomba kuwasilisha