Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Umepitwa mno na WakatiUlevi mbaya sana nimesikitika sana pombe kutumiwa vibaya ,ukilewa usitype
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepitwa mno na WakatiUlevi mbaya sana nimesikitika sana pombe kutumiwa vibaya ,ukilewa usitype
Masawe wa Geita uko nyuma sana!Chadema majimbo 31
Wakikomaa sana 2-3
Chadema Ina wafuasi sio wapiga kura
Na wafuasi hao ni wapiga kura wa CCM
Ni kichaa tu awezi nielewa
Chadema imekufaHii ndio Taarifa mpya kutoka kwenye kikosi kazi cha Uongozi mpya wa Kanda ya Nyasa, baada ya muendelezo wa Tathmini ya muda mrefu ya Chama hicho.
Chadema imesambaza kikosi kazi cha kuchambua mambo haya kupitia Chadema Digital kwa muda mrefu, Hii ndio sababu ya Freeman Mbowe kutangaza Chadema kushinda Majimbo yote Mkoa wa Kilimanjaro, hajakurupuka, NAMBA HAZIDANGANYI.
Labda kwa faida ya Wanaccm na mamluki wengine ni kwamba, kwenye Kanda ya Nyasa, Pamoja na Chadema kujihakikishia ushindi kwenye Majimbo 20 bado inaendelea kupigania hayo 11 yaliyobakia kwa kujikita kuelimisha Wananchi hasa huko Ludewa, ambako bado watu wanaamini CCM ni dini na kwamba ukiikataa utachomwa na Mungu siku ya kiama, Timu yetu iko kazini kufuta maneno hayo ya Laana kwa wananchi, ni timu iliyojaa vijana wasomi wakiwemo wataalam wa Saikolojia, imeratibiwa kisasa sana na Liberatus Mwang'ombe, MwanaChadema mtiifu anayefanya shughuli zake Nchini Marekani.
Vijana walio kwenye hicho kikosi kazi wanalipwa Hela nzuri kuliko wanazolipwa Walimu wa Tanzania
Safari hii hatutanii na hatutaki mchezo, Na kwa kweli ikiwa watawala wa Tanzania watajaribu kulazimisha ushindi wa Magalasa yao wanaweza kuifikisha nchi hii mahali pa kutisha na kusababisha machafuko yasiyozimika (HAKI HUINUA TAIFA) ndio maana Chadema inaendelea kupambana Ndani na nje ya nchi, kwenye Taasisi zote za kimataifa kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki (jambo linaloendelea vizuri)
Nawapa tu moyo wanaccm kwamba, CCM itang'olewa madarakani lakini hatutalipa kisasi na nchi itaendelea kusonga mbele, Wawe watulivu na wavumilivu kama sisi tulivyovumilia pamoja na unyama wote tuliotendewa.
MAENDELEO HAYANA CHAMA
Powh ntawatafuta maana hizo ndo Kazi zangu .
So niwacheki katika mitandao yao ya kijamii?
Kichaa weweMasawe wa Geita uko nyuma sana!
😆😆😆Kichaa wewe
Jana siyo leohutaamini,subiri utaona mziki.
Uhakika100%
Namuunga mkono. Wananchi wamechoka. Ipo siku tutafafanua vilivyowachosha wananchi. Ila wamechoka na chama chenyewe tangu TANU kimechokaHaya kanywe supu ya mbwa usukutue na ulanzi ndoto uliyo ota sio nzuri!
Usimuamshe aliyelalaNamuunga mkono. Wananchi wamechoka. Ipo siku tutafafanua vilivyowachosha wananchi. Ila wamechoka na chama chenyewe tangu TANU kimechoka
kati ya mwaka ambao chadema watapoteza, 2025 ni mojawapo. mark my words.Hii ndio Taarifa mpya kutoka kwenye kikosi kazi cha Uongozi mpya wa Kanda ya Nyasa, baada ya muendelezo wa Tathmini ya muda mrefu ya Chama hicho.
Chadema imesambaza kikosi kazi cha kuchambua mambo haya kupitia Chadema Digital kwa muda mrefu, Hii ndio sababu ya Freeman Mbowe kutangaza Chadema kushinda Majimbo yote Mkoa wa Kilimanjaro, hajakurupuka, NAMBA HAZIDANGANYI.
Labda kwa faida ya Wanaccm na mamluki wengine ni kwamba, kwenye Kanda ya Nyasa, Pamoja na Chadema kujihakikishia ushindi kwenye Majimbo 20 bado inaendelea kupigania hayo 11 yaliyobakia kwa kujikita kuelimisha Wananchi hasa huko Ludewa, ambako bado watu wanaamini CCM ni dini na kwamba ukiikataa utachomwa na Mungu siku ya kiama, Timu yetu iko kazini kufuta maneno hayo ya Laana kwa wananchi, ni timu iliyojaa vijana wasomi wakiwemo wataalam wa Saikolojia, imeratibiwa kisasa sana na Liberatus Mwang'ombe, MwanaChadema mtiifu anayefanya shughuli zake Nchini Marekani.
Vijana walio kwenye hicho kikosi kazi wanalipwa Hela nzuri kuliko wanazolipwa Walimu wa Tanzania
Safari hii hatutanii na hatutaki mchezo, Na kwa kweli ikiwa watawala wa Tanzania watajaribu kulazimisha ushindi wa Magalasa yao wanaweza kuifikisha nchi hii mahali pa kutisha na kusababisha machafuko yasiyozimika (HAKI HUINUA TAIFA) ndio maana Chadema inaendelea kupambana Ndani na nje ya nchi, kwenye Taasisi zote za kimataifa kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki (jambo linaloendelea vizuri)
Nawapa tu moyo wanaccm kwamba, CCM itang'olewa madarakani lakini hatutalipa kisasi na nchi itaendelea kusonga mbele, Wawe watulivu na wavumilivu kama sisi tulivyovumilia pamoja na unyama wote tuliotendewa.
MAENDELEO HAYANA CHAMA
Yesu gani umelogwa?kati ya mwaka ambao chadema watapoteza, 2025 ni mojawapo. mark my words.
Katafute pampasi Kipara Kipya naona ushaharibikiwa baada yakusoma andiko mujarabuHaya kanywe supu ya mbwa usukutue na ulanzi ndoto uliyo ota sio nzuri!
Umegoma kusikiliza ushauri wa watu wazima waliokushauri uwache bangi bado unajibia!Katafute pampasi Kipara Kipya naona ushaharibikiwa baada yakusoma andiko mujarabu
Kalale kama umechoka!Namuunga mkono. Wananchi wamechoka. Ipo siku tutafafanua vilivyowachosha wananchi. Ila wamechoka na chama chenyewe tangu TANU kimechoka