Tathmini ushiriki wetu Dubai Expo 2020

Tathmini ushiriki wetu Dubai Expo 2020

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Maonyesho tajwa yameisha (yalianza Oktoba 2021 mpaka Machi 2022) je Kama nchi tumevutia wawekezaji kiasi gani? Tulipata audience na wawekezaji serious? Mikataba gani tulisaini? Kuna ambalo tumejifunza huko? Tunaweza kuanza kufikiria Dar Expo 2090?

images (4).jpeg


images (18).jpeg


images (11).jpeg


273493731_463340528704679_1111764844735221073_n.jpg
 
Kama KawAida Tumekwenda Tumerudi
Tunangoja Bwana Bure Atupe Chochote
 
Rais alimbeba katibu wa uenezi na propaganda wa ccm ndugu Shaka akaenda naye.
Sio ajabu ukakuta hela ya serikali ilitumika kulipia huyo kada wa ccm
Halafu hapo unategemea tuendelee!!!
 
Ethiopia naona walikuwa na High level delegation meetings with investors
 
Hilo lilikuwa dili la kina Mrisho Mpoto...walikatiwa return ticket, wanalipiwa hotels wanapewa na perdiem Ili wakapokee watu na kupiga makelele yasokuwa na tija kule mara mdumange mara singeli...baada ya hapo sijui Nini kiliendelea
 
Uwajibikaji Ni kitendawili bado
 
Back
Top Bottom