mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Utatoa kwa nguvu kazi iendelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatutaki! [emoji847]
Kiukweli wanyonge mliyataka wenyewe. 2015 na 2020 mlipewa nafasi mkafurahia khanga/kofia na pilau. Mlinywe Sasa!
Tengeneza tatizo, vuta attention then njoo na "solution" kisha utapigiwa makofi
Dah!Mimi nimeona.Kiiilaa uzi unaomba votes.Kwani ulilazimishwa kuandika?Haya NTAKUPIGIA vote.Nakutania😂😂😂😂wakuu naomba vote yenu kwenye hili chapisho bofya ifunguke kisha click kwenye vote Story of Change - Unavyoweza kujiajiri kwa kufundisha mtandaoni
Mawakala wanashinda asubuhi mpaka join hamna mteja utazani mkate usio na sura nzuri