Tathmini ya usajili mpaka sasa simba wamepata hasara kubwa kuliko klabu zote.

Tathmini ya usajili mpaka sasa simba wamepata hasara kubwa kuliko klabu zote.

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.
Usajiri ule wa dirisha kubwa na hili dogo team mbalimbali zimesajili ikiwemo simba na yanga .

Usajili ni patapotea ila kwa kiasi kikubwa usajili ni akili ya viongozi na utashi wao wasiingie chaka.

Simba ndiyo team inayoongoza kupata hasara kwa wachezaji iliowaleta msimu huu, total loss!

Katika wachezaji walioleta dirisha kubwa na dogo ni wachache wameingia kwenye mfumo na matunda kuonekana.

WALIOPATIA.
1;Baunsa Ateba( japo ana goli za penati)

2;yusuph kagoma ( naye pancha nyingi)

3;moussa Camara

4;Hamza Jr

MAGARASA.
1;JOSHUA MUTALE (kinda la miaka 22)
Huyu hana goli wala assist.

2:Okajepha.( hili tapeli la kinaijeria)

3:valentine nouma( anakula mshahara wa bure)

4:Chomou karaboue( alifaa akacheze mieleka).

5;Valentino mashaka( anazidi kunenepa banch)

6;Elie mpanzu( hapa watafute cheating jingine mechi 5 hana kitu)

7:hussein abel ( huyu tangu Aletwe amekuwa akifua jezi badala ya kudaka)

8;Steve mukwala ( striker mzembe kuliko wote anazidiwa magoli mpaka na mabeki)

9;Edwin balua ( kwa sasa makalio yake yameacha alama pale banch)

10: Debora Fernández ( ukifananishwa na Aucho lazima Upotee uwe wa kawaida)

11: Kevin kijili (akili ndogo huumiza mwili)

Na magarasa mengine mengi tu yamejaa mule, mengi tu hayana kazi wala hayatumiki
Kiungo punda mzamiru
Kevin kijili
Ally salim
Saleh karabaka
Ladack chasambi


Hivyo kwa tathimini hii basi hawa inatakiwa waachwe hawana msaada wowote na simba wamepata hasara kubwa sana kama ile ya kufukuza wacheza zaidi ya 12 msimu ule ..

Wabadilike
Its Pancho
 
Nyege mshindo mwingine. Sharwala inamsumbua.Timu yako iongelee au wewe ni water melon?.Hujaweka tu ahadi isipotokea uolewe.Kwani ndio staili zenu.
 
I salute you kinsmen.
Usajiri ule wa dirisha kubwa na hili dogo team mbalimbali zimesajili ikiwemo simba na yanga .

Usajili ni patapotea ila kwa kiasi kikubwa usajili ni akili ya viongozi na utashi wao wasiingie chaka.

Simba ndiyo team inayoongoza kupata hasara kwa wachezaji iliowaleta msimu huu, total loss!

Katika wachezaji walioleta dirisha kubwa na dogo ni wachache wameingia kwenye mfumo na matunda kuonekana.


1;Baunsa Ateba( japo ana goli za penati)

2;yusuph kagoma ( naye pancha nyingi)

3;moussa Camara

4;Hamza Jr


1;JOSHUA MUTALE (kinda la miaka 22)
Huyu hana goli wala assist.

2:Okajepha.( hili tapeli la kinaijeria)

3:valentine nouma( anakula mshahara wa bure)

4:Chomou karaboue( alifaa akacheze mieleka).

5;Valentino mashaka( anazidi kunenepa banch)

6;Elie mpanzu( hapa watafute cheating jingine mechi 5 hana kitu)

7:hussein abel ( huyu tangu Aletwe amekuwa akifua jezi badala ya kudaka)

8;Steve mukwala ( striker mzembe kuliko wote anazidiwa magoli mpaka na mabeki)

9;Edwin balua ( kwa sasa makalio yake yameacha alama pale banch)

10: Debora Fernández ( ukifananishwa na Aucho lazima Upotee uwe wa kawaida)

11: Kevin kijili (akili ndogo huumiza mwili)

Na magarasa mengine mengi tu yamejaa mule, mengi tu hayana kazi wala hayatumiki
Kiungo punda mzamiru
Kevin kijili
Ally salim
Saleh karabaka
Ladack chasambi


Hivyo kwa tathimini hii basi hawa inatakiwa waachwe hawana msaada wowote na simba wamepata hasara kubwa sana kama ile ya kufukuza wacheza zaidi ya 12 msimu ule ..

Wabadilike
Its Pancho
Akae mamako hapo...
 
Hahaha .. . ILA KIBABE SANA SIMBA INAONGOZA LIGI NA IMEENDA ROBO FAINALI BILA KIKOKOTOO. Naona mkude, chama, na baleke pale utopoloni Wana magoli mengi sana ...
 
I salute you kinsmen.
Usajiri ule wa dirisha kubwa na hili dogo team mbalimbali zimesajili ikiwemo simba na yanga .

Usajili ni patapotea ila kwa kiasi kikubwa usajili ni akili ya viongozi na utashi wao wasiingie chaka.

Simba ndiyo team inayoongoza kupata hasara kwa wachezaji iliowaleta msimu huu, total loss!

Katika wachezaji walioleta dirisha kubwa na dogo ni wachache wameingia kwenye mfumo na matunda kuonekana.


1;Baunsa Ateba( japo ana goli za penati)

2;yusuph kagoma ( naye pancha nyingi)

3;moussa Camara

4;Hamza Jr


1;JOSHUA MUTALE (kinda la miaka 22)
Huyu hana goli wala assist.

2:Okajepha.( hili tapeli la kinaijeria)

3:valentine nouma( anakula mshahara wa bure)

4:Chomou karaboue( alifaa akacheze mieleka).

5;Valentino mashaka( anazidi kunenepa banch)

6;Elie mpanzu( hapa watafute cheating jingine mechi 5 hana kitu)

7:hussein abel ( huyu tangu Aletwe amekuwa akifua jezi badala ya kudaka)

8;Steve mukwala ( striker mzembe kuliko wote anazidiwa magoli mpaka na mabeki)

9;Edwin balua ( kwa sasa makalio yake yameacha alama pale banch)

10: Debora Fernández ( ukifananishwa na Aucho lazima Upotee uwe wa kawaida)

11: Kevin kijili (akili ndogo huumiza mwili)

Na magarasa mengine mengi tu yamejaa mule, mengi tu hayana kazi wala hayatumiki
Kiungo punda mzamiru
Kevin kijili
Ally salim
Saleh karabaka
Ladack chasambi


Hivyo kwa tathimini hii basi hawa inatakiwa waachwe hawana msaada wowote na simba wamepata hasara kubwa sana kama ile ya kufukuza wacheza zaidi ya 12 msimu ule ..

Wabadilike
Its Pancho
Mtu wa mwiko nyuma anapojifanya mchambuzi...hasara kivipi timu inaongoza ligi?! Imeingia Roba fainali..mjinha kweli wewe
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Umeongea ukweli sana Mkuu.
Ila hao mbumbumbu hawawezi kukuelewa.

PALE SIMBA PANA MATATIZO MAKUBWA SANA.
 
Hahaha .. . ILA KIBABE SANA SIMBA INAONGOZA LIGI NA IMEENDA ROBO FAINALI BILA KIKOKOTOO. Naona mkude, chama, na baleke pale utopoloni Wana magoli mengi sana ...
Siku mambo yakianza kubumburuka kama kawaida uje hapa
 
Nyege mshindo mwingine. Sharwala inamsumbua.Timu yako iongelee au wewe ni water melon?.Hujaweka tu ahadi isipotokea uolewe.Kwani ndio staili zenu.
Mimi ni mchambuzi nipo neutral
Yanga wamesajili kwa malengo na yamewalipa pakubwa sana simba wamejaza rundo la wqchezaji
 
Back
Top Bottom