Tathmini ya uwepo wa Corona Tanzania

Tathmini ya uwepo wa Corona Tanzania

Swahili_Patriot

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
358
Reaction score
831
Ninaishi Sinza, ninatembelea sana sehemu za Kariakoo, Ilala, Mbezi, G/mboto, Mwenge, Morogoro nk.

Ndani ya hii miezi mitano, nimeshuhudia kifo kimoja na familia nzima kupelekwa quarantine ila walipona na sasa nipo nao mtaani. Personally hivi nimevishuhudia. Tetesi zinasema kuwa Corona ipo Tanzania kama mataifa yeyote tu. Je, hii habari ni ya kweli au uzushi tu?

Basi naomba tuutathmini uhalisia kwa pamoja. Kwa Mtanzania atayesoma huu uzi, naomba utuelezee uko ulipo kuna kisa chochote ulichokiskia au mpo salama?

IG#swahili_alpha
 
Tangia corona ianze mpaka imeisha sijawai kuona mtu yeyote anaeugua corona,japo sio sababu kwamba corona haipo,ipo ila sio kiviile kama mabwege wa mitandaoni wanavyojaribu kuikuza.
Tz ni kubwa sasa.

Mi nimepata mkosi wa kufiwa na ndugu mmoja na marafiki wawili kwa corona.
Dem wangu na marafiki zake walili waliugua corona na wakapona.

FB friend mmoja aliniconfirmia mwenyewe kuwa alipokuwa kimya alikuwa anapigania uhai kwasababu ya corona.

So mimi binafsi corona imenigusa sanaa.
 
Binamu yangu ni mtu mzima sana pale Dodoma Makole Dodoma, ni mtu mzima, umri wake ni mkubwa na anaugua BP, Kisukari na tezi dume, bahati mbaya akapana na Corona, tulishajiandaa kwa mazishi, huwezi amini amepona na familia yake yote imemaliza kipindi cha karantini wapi safi wote.
 
Binamu yangu ni mtu mzima sana pale Dodoma Makole Dodoma, ni mtu mzima, umri wake ni mkubwa na anaugua BP, Kisukari na tezi dume, bahati mbaya akapana na Corona, tulishajiandaa kwa mazishi, huwezi amini amepona na familia yake yote imemaliza kipindi cha karantini wapi safi wote.
I was sick but nime fukizaaaaa weee sa hiv nadunda mitaani.

Wengi wetu ndo ivo uzuri hatukuiogopa corona nayo ilituheshimu. Wachache wamepoteza maisha lakini sisi tupo hai maisha lazma yasonge. Corona ilitukuta imeondoka imetuacha. Pia majirani wanazarau lakini kuna siri kubwa sana kutomuogopa adui. Na kuna siri kubwa sana kumwamini Mungu.
 
Corona iliigusa familia yangu tulipambana na tangawizi, malimao na kujifukiza huku tukimuomba Mungu kila mtu akawa sawa, nafahamu marafiki na ndugu kadhaa waliopata na fomula ilikuwa malimao,tangawizi kujifukiza na Mungu mbele.

Ukweli familia nyingi zimetembelea kny hiyo kanuni na mpaka sasa ndio life style uwe una dalili au huna ni mwendo wa tangawizi,limao na maombi. Mungu ametuvusha na ataendelea kutuvusha, lkn taadhari lazima tuendelee kuzizingatia.
 
Huu uzi unaonyesha wazi kwamba kunao wale wasioamini kuwa kipo na kuna walioadhirika binafsi au familia na marafiki.

Ivi ni ratiba/tahadhari gani unayostahili kuifuata, aidha kuepuka corona au kupunguza kueneza, na ni lipi serikali inafanya kulingana na hio.
 
Huu uzi unaonyesha wazi kwamba kunao wale wasioamini kuwa kipo na kuna walioadhirika binafsi au familia na marafiki.

Ivi ni ratiba/tahadhari gani unayostahili kuifuata, aidha kuepuka corona au kupunguza kueneza...na ni lipi serikali inafanya kulingana na hio...
Serikali ya Tanzania ilijipanga vilivyo mapema sana kupambana na kuenea kwa Corona. Mwanzo kabisa tulidhibiti mipaka yetu na kuwaweka katika "Isolation centres" kwa muda wa siku 14 kwa yeyote aliyeingia nchini(Kumbuka Diamond na kundi la WCB), na tulifanya "contact tracing & Isolation" kwa nguvu sana pale mwanzoni kabisa kabla haujasambaa sana.

Hiyo ni pamoja na zoezi la kunawa mikono lilifanyika kwa nguvu sana na nchi nzima, ambapo mitaani kote kila nyimba nje kulikua na maji na sabuni.

Uzuri wa Tanzania hakuna ubabaishaji wala rushwa, kila kitu kinafanyika kama kilivyotakiwa kufanyika. Mwisho kabisa zoezi la kujifukiza linaendelea kufanyika hadi Leo, japo sijawa na uhakika na ufanisi wake, lakini inaonekana linasaidia sana.
 
swakid,

Corona ipo lakini kuna kitu jisicho Cha kawaida kwa Tanzania, yaani kwa Sasa mambo yanakwenda Kama kawaida.. binafsi in four months nilishuhudia matukio mawili lakini wore walipona. Kila siku kwa kazi yangu nakutana na watu zaidi ya 300, sijamuona mwenye dalili ya Corona.
 
Binafsi zaidi ya tetesi hakuna niliemshuhudia anaumwa korona!.. toka ugonjwa umeingia nchini sikuwa na taharuki wala hofu ya aina yoyote!

Huenda kukawa na kitu serikali inakijua ndio maana ikatoa watu hofu! Kwani sio rahisi kuwaruhusu watu wajiachie tu halafu waje wafe kama kuku, sio rahisi kabisa!

Kuna hawa wapiga kelele tu mitandaoni ambao nao nishawazoea. Ukijaribu kuwaangalia utakumbuka ndio walewale wanaoitakia serikali maovu! Ndio walewale wakusema rais kafa! ndio haohao wanaoitumia mitandao ya kijamii kuandika vitu vya uongo kwa asilimia kubwa huku wakilalamikia Uhuru wa vyombo vya habari!

Ndio haohao waliokuwa wakiitaka serikali iamue kuweka nchi kwenye lockdown,kwa kufuata mtizamo wa nchi nyengine bila kuangalia data zetu zinasema nini.😅

Haiwezi kuwa kazi rahisi kuuficha ugonjwa unaosababisha vifo hata siku moja!

Kuna kipindi niliandika kuwa naiamini serikali yangu kwasababu nilishaona kuna vimtu hovyo sana tena humu yapo mengi kama magugumaji tu.😅

Wameshaongea mengi ila mengi wanaangukia pua. Halafu ni timu pingapinga hilo ndo swala lao.. nahisi kabisa huwa wanalipwa kufanya wanachokifanya!

Samaanini nimetoa ya moyoni.😂😂
 
Corona yenyewe ipo, na wengi wanaumwa kimya kimya, huku Kenya pia huo ndio mwendo, kuna wale wanapambana nayo kitaani bila kujitokeza, ila tatizo kubwa la mbinu za kihivyo ni pale unagoma kwenda kupimwa kisha unaambukiza mtu asiye na kinga bora mwilini, kunao watu wa kisukari, HIV, msukumo wa damu n.k.
Hamna jinsi unaweza kuwalinda hao kwa kujificha na kirusi cha corona kwako, muhimu upimwe pale unahisi dalili kisha jifungie karantini ili kuwalinda uwapendao.
Mimi hapa kwangu kila siku mwendo wa malimau na maji moto, nimesubiri sana hicho kirusi tupishane kwa amani ili nipate kinga dhidi yake kwa siku za usoni, yaani herd immunity, ila huwa naona kuna namna hakipo tayari kukabiliana na mimi kwa sasa.

Nashukuru sana serikali yetu kwa kuendelea kupima na pia mikakati yote inayofanya haswa kwenye kuskliza wataalam bila kuingiza siasa, sisi hatupo kwenye kampeni hivyo kwa sasa kitu kama hiki hatuwezi kukicheza kisiasa. Ifahamike imbeainika kikubwa kinachotuokoa Afrika ni zile chanjo za homa ya njano, kwamba mataifa mengi ambayo hutoa hizo chanjo hawafi sana licha ya kuathirika.

Halafu wazungu kwao huko hawawezi haya mambo ya herd immunity maana wana wazee wengi sana hususan mijini, sio kama sisi Afrika hapa life expectancy yetu ni ndogo, kwenye miaka 60 huwa tunaanza kujifia mapema, wengine wanarudi vijijini.
 
Corona yenyewe ipo, na wengi wanaumwa kimya kimya, huku Kenya pia huo ndio mwendo, kuna wale wanapambana nayo kitaani bila kujitokeza, ila tatizo kubwa la mbinu za kihivyo ni pale unagoma kwenda kupimwa kisha unaambukiza mtu asiye na kinga bora mwilini, kunao watu wa kisukari, HIV, msukumo wa damu n.k.
Hamna jinsi unaweza kuwalinda hao kwa kujificha na kirusi cha corona kwako, muhimu upimwe pale unahisi dalili kisha jifungie karantini ili kuwalinda uwapendao.
Mimi hapa kwangu kila siku mwendo wa malimau na maji moto, nimesubiri sana hicho kirusi tupishane kwa amani ili nipate kinga dhidi yake kwa siku za usoni, yaani herd immunity, ila huwa naona kuna namna hakipo tayari kukabiliana na mimi kwa sasa.

Nashukuru sana serikali yetu kwa kuendelea kupima na pia mikakati yote inayofanya haswa kwenye kuskliza wataalam bila kuingiza siasa, sisi hatupo kwenye kampeni hivyo kwa sasa kitu kama hiki hatuwezi kukicheza kisiasa. Ifahamike imbeainika kikubwa kinachotuokoa Afrika ni zile chanjo za homa ya njano, kwamba mataifa mengi ambayo hutoa hizo chanjo hawafi sana licha ya kuathirika.

Halafu wazungu kwao huko hawawezi haya mambo ya herd immunity maana wana wazee wengi sana hususan mijini, sio kama sisi Afrika hapa life expectancy yetu ni ndogo, kwenye miaka 60 huwa tunaanza kujifia mapema, wengine wanarudi vijijini.
Huko Kunyaland mnagonga 10,000 infections wiki hii!
 
Tz ni kubwa sasa.

Mi nimepata mkosi wa kufiwa na ndugu mmoja na marafiki wawili kwa corona.
Dem wangu na marafiki zake walili waliugua corona na wakapona.

FB friend mmoja aliniconfirmia mwenyewe kuwa alipokuwa kimya alikuwa anapigania uhai kwasababu ya corona.

So mimi binafsi corona imenigusa sanaa.
Weka vyeti vya kifo hapa... hatutaki porojo za kisiasa!

Uambatanishe na ripoti ya daktari!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Corona yenyewe ipo, na wengi wanaumwa kimya kimya, huku Kenya pia huo ndio mwendo, kuna wale wanapambana nayo kitaani bila kujitokeza, ila tatizo kubwa la mbinu za kihivyo ni pale unagoma kwenda kupimwa kisha unaambukiza mtu asiye na kinga bora mwilini, kunao watu wa kisukari, HIV, msukumo wa damu n.k.
Hamna jinsi unaweza kuwalinda hao kwa kujificha na kirusi cha corona kwako, muhimu upimwe pale unahisi dalili kisha jifungie karantini ili kuwalinda uwapendao.
Mimi hapa kwangu kila siku mwendo wa malimau na maji moto, nimesubiri sana hicho kirusi tupishane kwa amani ili nipate kinga dhidi yake kwa siku za usoni, yaani herd immunity, ila huwa naona kuna namna hakipo tayari kukabiliana na mimi kwa sasa.

Nashukuru sana serikali yetu kwa kuendelea kupima na pia mikakati yote inayofanya haswa kwenye kuskliza wataalam bila kuingiza siasa, sisi hatupo kwenye kampeni hivyo kwa sasa kitu kama hiki hatuwezi kukicheza kisiasa. Ifahamike imbeainika kikubwa kinachotuokoa Afrika ni zile chanjo za homa ya njano, kwamba mataifa mengi ambayo hutoa hizo chanjo hawafi sana licha ya kuathirika.

Halafu wazungu kwao huko hawawezi haya mambo ya herd immunity maana wana wazee wengi sana hususan mijini, sio kama sisi Afrika hapa life expectancy yetu ni ndogo, kwenye miaka 60 huwa tunaanza kujifia mapema, wengine wanarudi vijijini.
Kwanini hutaki kukubaliana na ukweli kwamba Tanzania Corona imepungua sana ukilinganisha na nchi zingine?. Hivi Kenya mnaweza kuthubutu kufungua vyuo na shule zote bila wanafunzi kuambukizwa kwa wingi kiasi cha wazazi kuwarudisha watoto wa majumbani?.

UNICEF wenyewe wamekiri na kusema ni salama kwa wanafunzi kurudi mashuleni, wewe unayeendelea kukataa na kubisha unalengo gani?.
 
Kwanini hutaki kukubaliana na ukweli kwamba Tanzania Corona imepungua sana ukilinganisha na nchi zingine?. Hivi Kenya mnaweza kuthubutu kufungua vyuo na shule zote bila wanafunzi kuambukizwa kwa wingi kiasi cha wazazi kuwarudisha watoto wa majumbani?.

UNICEF wenyewe wamekiri na kusema ni salama kwa wanafunzi kurudi mashuleni, wewe unayeendelea kukataa na kubisha unalengo gani?.

Unatumia kigezo gani kujua corona imepungua ilhali mlijichokea kwenye kupima, usipopima hauna namna ya kusema imepungua au la, unakua umewaacha watu wajihangaikie mitaani, wa kufa ajifie na wa kupona apone, na kwa nchi kubwa kama Tanzania ambayo media yake huwa imeminywa kuna mengi ambayo yatabaki kuishia huko kwa mtongole bila kusikika Dar.
Familia nyingi zinazoathirika inabidi wahangaike wenyewe ndani kwa ndani inabaki siri ya ndani maana ile wakijitangaza tu wanatengwa hata na jamii na kuepukwa.
 
tulipomkabidhi MUNGU hii VITA ndipo tuliposhinda.
"mtoto hawezi kumuomba baba yake MKATE alafu baba akampa JIWE.".
(nukuu ya yesu)
NA endapo watu wangeendelea kuumwa na kufa
Basi magufuli angechekwa sana .
Ila MUNGU amemuokoa na hyo AIBU.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Unatumia kigezo gani kujua corona imepungua ilhali mlijichokea kwenye kupima, usipopima hauna namna ya kusema imepungua au la, unakua umewaacha watu wajihangaikie mitaani, wa kufa ajifie na wa kupona apone, na kwa nchi kubwa kama Tanzania ambayo media yake huwa imeminywa kuna mengi ambayo yatabaki kuishia huko kwa mtongole bila kusikika Dar.
Familia nyingi zinazoathirika inabidi wahangaike wenyewe ndani kwa ndani inabaki siri ya ndani maana ile wakijitangaza tu wanatengwa hata na jamii na kuepukwa.
Utajipimia kila mtu hata kama hana dalili wala historia ya kukutana na mgonjwa?. Kama watu hawapimwi hiyo haina maana kwamba watu hawaumwi wala hawafi, kama watu wanaumwa na kufa kwa wingi unadhani bado wanafunzi hasa wa vyuo vikuu wangekubali kuendelea na masomo?

Vipi kuhusu wachezaji wa mpira, hasa wale wa kutoka nchi za nje ambao Tanzania ni wengi sana, unadhani wangekubali kuja na kuendelea kucheza na hawaugui kila siku wanaonekana uwanjani, au nao pia wanaficha?.

Vipi kuhusu mashirika ya ndege yaliyoanzisha safari za kuja nchini, unadhani hawana uwezo wa kujua hali halisi wameamua kuruhusu ndege zao kuja wakati walizuia kipindi ambacho hali ilikua mbaya, unadhani yanaweza kuharibu biashara zao kwa kuruhusu safari ktk nchi hatarishi?

Hao watalii wanaoingia kwa wingi, pia wote hawana taarifa za kutosha ila ni wakenya pekee ndio wenye uwezo wa kujua hali halisi ya Tanzania?
 
Corona imepungua vyuo vilifunguliw Zaid ya mwezi sas wanfunz wanasom na hakuna taarifa za ugonjw kwa wanafunzi

Kenya nyie endeleni tu kupimana adi mwaka utaisha mnpina t
 
Back
Top Bottom