Tatizo baada ya kupangiwa placement

Tatizo baada ya kupangiwa placement

Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.

Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.

Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.

Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili

Nichukue hatua zipi.
Hujasema ni mtumishi wa kada Gani?

Ulitoka wapi kwenda wapi?

hughuli yako mahsusi ni ipi mwanzo na baadae kuwa ipi?
 
Penda Utumishi ukawaeleze tatizo lako kijana ikishindikana kaongee na Katibu Mkuu utumishi
 
Komaa hapo ukizubaa imekula kwako,kua mbishi kiaina.
Ishatokea kwa jamaa yetu CRB akakita barua ishachukuliwa,akakiwasha mwisho wa siku wakampambania kuweka mambo sawa,kumbe Kuna mutu alichomekwa,ila ni enzi ya JPM
 
Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.

Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.

Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.

Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili

Nichukue hatua zipi.
Pambana mkuu usikubali kupokonywa tonge mdomoni kizembe hiyo ni haki yako ipambanie
 
Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.

Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.

Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.

Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili

Nichukue hatua zipi.
Kuwa makini utapoteza hio kazi. Taasisi zina mambo yake.

Swali: Mwajiri alikupokea kwamaana ya kusajiri ujio wako ili aendelee kukushughurikia ukiwa kama mtumishi wake?

Barua ya kazi ilikutaka ulipoti kwa mwajiri ndani ya siku 14. Mara baada ya kuripoti siku ya kuripoti huhesabika rasmi kama siku ya kuajiriwa kwako. Kama mwajiri alikataa kukupokea rasmi, hio case ilipoti ofisi za juu hapo kwenye Taasisi.
 
Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.

Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.

Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.

Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili

Nichukue hatua zipi.
Nenda mahakamani.
 
Mwezi wa tisa na sasa ni mwezi wa 12, fanya hivi tafuta mawasiliano na HR wa iyo taasisi muulize kinachoendelea juu ya swala lako asipokupa majibu ya kueleweka nenda utumishi kawaelezee swala lako wao watakusaidia ila inahitaji ukomae usionyeshe unyonge.

Ninavyofahamu ajira mpya ukienda kuripoti unatakiwa u submit barua yako pamoja na vyeti vyako ili uingizwe kwenye mfumo na unaweza kuanza kazi hapo hapo au unaweza kungojea kidogo kisha uitwe kuanza kazi

Sasa swali langu la msingi kwanini wakatae kupokea barua yako kutoka utumishi?

Maana yake hawakuchukua taarifa zako zozote (hawakukuingiza kwenye mfumo wao) si ndio?
 
Back
Top Bottom