sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasema ni mtumishi wa kada Gani?Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.
Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.
Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.
Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili
Nichukue hatua zipi.
Hiyo ni ajila mpya dada angu.hujasema ni mtumishi wa kada Gani ?
ulitoka wapi kwenda wapi?
shughuli yako mahsusi ni ipi mwanzo na baadae kuwa ipi ?
Pambana mkuu usikubali kupokonywa tonge mdomoni kizembe hiyo ni haki yako ipambanieHabari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.
Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.
Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.
Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili
Nichukue hatua zipi.
Kuwa makini utapoteza hio kazi. Taasisi zina mambo yake.Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.
Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.
Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.
Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili
Nichukue hatua zipi.
Nenda mahakamani.Habari wakuu samahani na poleni na mihangaiko ya kila siku, naomba ushauri.
Nilipata placement utumishi Mwezi wa tisa baada ya kureport kwenye taasisi husika wakaniambia nitapigiwa simu ila mapokezi katika taasisi hiyo ayakuwa mazuri maana walikataa ata kuchukua barua kutoka utumishi nikaambiwa nitapigiwa simu.
Mpaka leo kimya lakini wenzangu walio enda taasisi zingine wameshaanza kazi.
Mimi nipo tu, sina cha kufanya maana kila kitu kwenye maisha yangu kimesimama naomba ushauri juu ya jambo hili
Nichukue hatua zipi.