Tatizo baada ya kupata placement

Placement ni nini mkubwa?
 
Wapigie utumishi! Wala usiharibu nauli yako, alafu utumishi watafanya mawasiliano yao! Vinginevyo utakaa hata miezi mitano! Kuna jamaa mmoja alipata kazi akafanywa hivyo hivyo mwisho wa siku akaambiwa nafasi hazipo ilibidi arudi utumishi akaambiwa asubiri gap lingine na kweli alipangwa baadaye lakini sehemu ambayo mshahara wake ni mdogo tofauti na taasisi ya awali! Maana huko ulikopeleka barua yamkini walishasahau mkuu! Na vile yawezekana ulitoka database ndo kabisa utaendelea kusugua benchi! Kumbuka hii sio awamu ya anko magu!
 
Aliyekataa ni nani? Au watu wa masijala?
Itaje iyo taasisi au nitumie pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…