Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamfollow kwahiyo siwezi kufahamu....kwahiyo sasa?Yaani kabisa unaamini kwamba Zari White Party ilibuma?! Btw, how unadai "wamefufua" birthday eti kwa ajili ya Hamisa wakati Zari mwenyewe alishawahi kuelezea suala la ku-postpone birthday about 10 days b4 Zari White Party!
View attachment 658886
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaendeleza white party baada ya Mobeto kumfrustrate Bi.Zari ndani ya Uganda alipozaliwa.
Usiwe anongea mambo kwa ku-guess! Na kutom-follow sio hoja manake ungeweza ku-verify madai yako bila hata ya kum-follow!!Sijamfollow kwahiyo siwezi kufahamu....kwahiyo sasa?
Siwezi kuacha kusoma vitu vinavyo pop up kwenye suggest list na siwezi kuacha kutumia social networks kisa watu fulani Penye ukweli tunasema
kwani nmwwashika[emoji23] [emoji23]Get a life, acha watu waishi maisha yao.
Lakini sikuku @ katika comment yangu[emoji4]Usiwe anongea mambo kwa ku-guess! Na kutom-follow sio hoja manake ungeweza ku-verify madai yako bila hata ya kum-follow!!
Yani ujue ni frustration tosha ukiangalia video aliopost akicheza na Mondi inaonyesha kabisa she has a bipolarWanaendeleza white party baada ya Mobeto kumfrustrate Bi.Zari ndani ya Uganda alipozaliwa.
Apo chachaBday ya mtoto walikwa watu wazima na pombe juu....
kwani nmwwashika[emoji23] [emoji23]
Ooooooh mdogo wangu, utakufa maskini ukiendelea kufuatilia maisha ya watu![]()
![]()
![]()
Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.
kwani vp mkuu ww ni zari nnNo, get a life maisha yao hayakuhusu.