Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Kwa hiyo askari wengi.wana kazi.ya ziada. Na yule mnyongaji.wa serikali.si.ndio tabu tupu?
Uko sawa Damu ya mtu ni kitu cha hatari!!Damu huwa inalia na kuongea kudai kisasi,ndio maana ukimwaga damu hata uzao wako unakuwa na mapigo ya ajabu na tabia za ajabu!!.Ndio maana wazee wanakataza usioe au kuolewa nyumba iliyomwaga damu maana ina hasira au adhabu ya Mwenyenzi Mungu.
TATIZO DAMU YA MTU HAIFUKIWAGI NA MCHANGA. DAMU HUFUKIWA NA DAMU JUU YAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya kiroho na kimwili yanakanuni Zake.
Ndàni ya Damu ya Mtu upo uhai. Damu ya Mtu vipo vinasaba. Vinasaba hubeba kumbukumbu za kimwili na kiroho za Mtu Husika.
Damu ya Mtu hubeba kinga za kimwili na kinga za rohoni. Kwèñye kinga za Mwili wanabaiolojia walisoma zîpo white blood cell, red blood cell na Platelets.
Damu inamakundi yake. Na zîpo Kanuni za makundi hayo katika Blood transfusion.
Ili kiumbe aendelee kuwa hai ni lazima kiumbe Kingine Kife kwaajili yake.
Yàani Kifo na Maisha na Maisha ni KIFO.
Yàani Huwezi kuishi pasipo kiumbe Kingine Kufa. Na Siku zote Huwezi Kula kitu ambacho hakikuwa na uhai.
Yaani Huwezi kuishi Kwa Kula kiumbe ambacho siô hai, mfano binadamu ili aishi lazima ale mimea au Wanyama wengine. Na katu binadamu hawezi Kula mchanga au mawe au kitu chochote kisicho na uhai au ambacho hakikuwahi kuwa na uhai.
Tunapika chàkula ili Kuua cells zilizopo katika chàkula, Taikon unaenda Wapi Huko Sasa?
Narudi! Kûna viumbe ni Sumu, yàani hata uviue ili uvile bado kûna uhai unaooperate katika viumbe hivyo. Hata hivyo vipo viumbe àmbavyo miili Yao imejengwa Kwa kemikali Zenye Sumu Ambazo Mtu akila huweza kumdhuru.
Wanyama damu zào haziliwi na Sisi binadamu. Hata hivyo wàpo wanaokunywa Kwa kufuata Kanuni za kimiungu.
Mîungu hula damu Kwa sababu kwèñye damu ñdipo ulipo uhai. Ili mîungu iishi Miaka mirefu hula damu za viumbe Wengine. Hata hivyo Kula damu ya Mtu huchukuliwa kama kuongeza Muda zaidi WA kuishi Kwa mîungu.
Damu ya Mtu ikimwagwa haifukiwi na mchanga hata siku Moja. Damu hufunikwa juu ya damu.
Yàani damu Kwa damu.
Mchanga Kwa mchanga
Hewa Kwa hewa
Maneno Kwa maneno.
Moto Kwa Moto.
Maji Kwa Maji.
Mafuta Kwa mafuta.
Unapoua Mtu yàani unapomwaga damu ya Mtu elewa damu hiyo lazima juu yake ifunikwe na damu ñyiñgine juu yake.
Huwezi muua Mtu hasa asiyestahili kuuawa ati ukamfukia shimoni alafu ukaondoka zako. Labda úwe kichwa Maji yàani hamnazo.
Wanaoelewa Kazi hizô hujua Fika kuwa endapo damu ikimwagwa isiyo na hatia kûna namna ya kuifukia damu hiyo Kwa damu ñyiñgine. Ili isilete madhara.
Soma Pia: Kuua ni laana hata vitabu vya vidini vimesema hivyo, usikubali kubebeshwa dhambi hiyo
Taikon Acha nipumzike sasa.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Upo sawa binadam ni mnyama na ng'ombe ni mnyama tofauti ni utashi tu.Nshamaliza mbona
Tutafisiriyee...derogatoryImbecile
Duuh kwahio wanaowauwa binadamu hutoa kafara kwa kuua mifugo mfano cattles, sheeps , goats etcTATIZO DAMU YA MTU HAIFUKIWAGI NA MCHANGA. DAMU HUFUKIWA NA DAMU JUU YAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya kiroho na kimwili yanakanuni Zake.
Ndàni ya Damu ya Mtu upo uhai. Damu ya Mtu vipo vinasaba. Vinasaba hubeba kumbukumbu za kimwili na kiroho za Mtu Husika.
Damu ya Mtu hubeba kinga za kimwili na kinga za rohoni. Kwèñye kinga za Mwili wanabaiolojia walisoma zîpo white blood cell, red blood cell na Platelets.
Damu inamakundi yake. Na zîpo Kanuni za makundi hayo katika Blood transfusion.
Ili kiumbe aendelee kuwa hai ni lazima kiumbe Kingine Kife kwaajili yake.
Yàani Kifo na Maisha na Maisha ni KIFO.
Yàani Huwezi kuishi pasipo kiumbe Kingine Kufa. Na Siku zote Huwezi Kula kitu ambacho hakikuwa na uhai.
Yaani Huwezi kuishi Kwa Kula kiumbe ambacho siô hai, mfano binadamu ili aishi lazima ale mimea au Wanyama wengine. Na katu binadamu hawezi Kula mchanga au mawe au kitu chochote kisicho na uhai au ambacho hakikuwahi kuwa na uhai.
Tunapika chàkula ili Kuua cells zilizopo katika chàkula, Taikon unaenda Wapi Huko Sasa?
Narudi! Kûna viumbe ni Sumu, yàani hata uviue ili uvile bado kûna uhai unaooperate katika viumbe hivyo. Hata hivyo vipo viumbe àmbavyo miili Yao imejengwa Kwa kemikali Zenye Sumu Ambazo Mtu akila huweza kumdhuru.
Wanyama damu zào haziliwi na Sisi binadamu. Hata hivyo wàpo wanaokunywa Kwa kufuata Kanuni za kimiungu.
Mîungu hula damu Kwa sababu kwèñye damu ñdipo ulipo uhai. Ili mîungu iishi Miaka mirefu hula damu za viumbe Wengine. Hata hivyo Kula damu ya Mtu huchukuliwa kama kuongeza Muda zaidi WA kuishi Kwa mîungu.
Damu ya Mtu ikimwagwa haifukiwi na mchanga hata siku Moja. Damu hufunikwa juu ya damu.
Yàani damu Kwa damu.
Mchanga Kwa mchanga
Hewa Kwa hewa
Maneno Kwa maneno.
Moto Kwa Moto.
Maji Kwa Maji.
Mafuta Kwa mafuta.
Unapoua Mtu yàani unapomwaga damu ya Mtu elewa damu hiyo lazima juu yake ifunikwe na damu ñyiñgine juu yake.
Huwezi muua Mtu hasa asiyestahili kuuawa ati ukamfukia shimoni alafu ukaondoka zako. Labda úwe kichwa Maji yàani hamnazo.
Wanaoelewa Kazi hizô hujua Fika kuwa endapo damu ikimwagwa isiyo na hatia kûna namna ya kuifukia damu hiyo Kwa damu ñyiñgine. Ili isilete madhara.
Soma Pia: Kuua ni laana hata vitabu vya vidini vimesema hivyo, usikubali kubebeshwa dhambi hiyo
Taikon Acha nipumzike sasa.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Yes, there are known relatives of Adolf Hitler, although many have changed their names or distanced themselves from their infamous ancestor. Here are a few examples:Hata kwenye siasa ,Chama tawala kikikaribia kutoka madarakani kinaua wetu wa wasio na hatia . Damu ikizidi kumwagika inainua mizimu na kuwaingia wetu kwa nguvu kubwa na kusababisha wafu kuwa majasiri na wasio na woga. Matokeo yake ni hasira na Visasi na kuuana mapana wote waliosababisha mauaji kwa watu wasio na hatia waangoamie na vizazi vyao au kukimbia nchi kuepuka kuuawa. Ndio maana leo hatuna kizazi cha Hitler kinachotajwa tena duniani.
Duuh kwahio wanaowauwa binadamu hutoa kafara kwa kuua mifugo mfano cattles, sheeps , goats etc
Jus drein jus daun
Yu gonplei ste odon.
Mkuu Robert Heriel Mtibeli vipi barabara hasa baadhi ya maeneo fulani kuwa na ajali za kila mara zenye kumwanga damu, kiroho ikoje hii?
Je eneo hilo huwa kuna majini/mapepo yenye kudai damu kila muda fulani au ni shida tu ya barabara eneo hilo?
Je shida ya barabara ikitatuliwa mf kuwekewa matuta je majini wanaweza kusababisha ajali sehemu hiyo?
Noma sana!Hii mbona iko wazi tokea enzi za watoto wa Adam
Ila kupooza kupo japo ni kwa kumwaga damu Kama walivofanya watoto was Adam ..
BLood must have blood.Umeniacha
BLood must have blood.
HIs fight is over!
HahahahahaMtoto mwenye degree Zake na haringi
Hahahahaha
Hamna bwanaa🤣🤣Sisi Wengine tulikimbia umande