Tatizo hili linanitisha juu ya mwanangu. Msaada jamani!

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Mwanangu baada ya kumpa uji leo asubuhi niliochanganya na mafuta ya Habbat souda na asali...

Akawa anajiangalia tumbo lake kama analipiga piga.. Nikadhani linamuuma labda au ameshiba sana...

Shida alipojisaidia toka asubuhi yake kabla sijampa huo uji nilioeleza hapo. .. ALIJISAIDIA KINYESI CHA KIJANI SANA. .. SASA NIMESHTUKA KIDOGO. ..
 
Mpeleke hospital! Kinyesi cha kijani ni dalili za ugonjwa fulani na ni kawaida kwa watoto!
 
Hayo mafuta yana rangi gani? Lengo haswa la kumpa hayo mafuta ni nini?

Wakati mwingine ukila vitu Fulani rangi inatoka kwenye haja kubwa bila kumeng'enywa tumboni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…