Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
- Thread starter
-
- #21
well that is serious
kwa ufupi huyo mkeo ana tabia za usiri na kufanya mambo yake
mwambie tu ukweli kuwa akiendelea hivyo utashindwa...utatafuta mwingine
Kama hali iko hivi unanishaurije sasa? sometime uko sawa kwani akirudi home ni nadra kuongelea mambo ya home na mara nyingi atakueleza yaliyojiri ofisini na kukupatia ratiba za kazi zake. Kwenda naye taratibu zaidi ya jinsi ambavyo nimekwenda naye ni kutengeneza family isiyo na future labda ushauri kitu kikubwa zaidi.
wewe beba majukumu yote ya nyumbani....wapo watu wanafanya hivyo aisee
<br />Mkuu ku celebrate difference ni kutangaza kuwa sina future unnecessarily na hii ni kukubali hata kuingia sebuleni ukute nguo juu ya TV na viatu juu ya meza kitu ambacho ni kukubali kuishi kama kichaa
Nilishamfukuza huyu wife mara mbili na hayuko tayari kuondoka na kuliko aende kwao ataenda kwa mama yangu kumpigia magoti ili anishawishi nimrudishe . Akiwa kwa mama humwomba mama anipigie simu kuniomba msamaha na anaweza akakaa kwa mama hata siku tatu na huwa inabidi nimheshimu mama yangu basi namkubalia.
Inabidi nijipange kwani kumfukuza nitakuwa pia nimetesa watoto wangu ambao obvious hiyo adhabu haiwahusu. Ila pia nitakuwa nafanya tu basi na yeye atakuwa na kazi gani kwani asilimia 98 ya kazi zote anafanya binti wa kazi.
Inabidi nijipange kwani kumfukuza nitakuwa pia nimetesa watoto wangu ambao obvious hiyo adhabu haiwahusu. Ila pia nitakuwa nafanya tu basi na yeye atakuwa na kazi gani kwani asilimia 98 ya kazi zote anafanya binti wa kazi.
Pole sana kaka kwa sababu ndo msalaba wa maisha. Pengine mngepata muda muafaka kwenye mazingira tofauti na mlipo say take a vacation ku renew your honeymoon and your vows. Hapo mjadiliane si kwa maana ya kusuluhisha ugomvi lakini kwa mantiki ya kuandika upya aganao la upendo wenu! Kila mtu amtahmini mwenzake na utashangaa pengine na wewe umejikwa na kumkwaza. Ndoa zote zina changamoto zake na wahusika wengine wanamezea tu!
Mara nyingine ni udhaifu binafsi wa tabia na si kwa makusudi. Ungeweka kumbukumbu je anarudia baada ya muda gani ..je amejitahidi kutunza ahadi/sheria/kanuni kwa muda gani.. Lakini katika maisha bila kujali elimu mliyo nayo upendo haupimwi kwa vitu vikubwa bali kwa matendo madogomadogo sana. Je na wewe humsababishi ajikwaze katika hilo? Muwashirikishe na wasimamizi wenu wa ndoa katika hali ya furaha tu na wao wamape somo na kujadili mambo yanayowatatiza katika hali ya kawaida.si ya kutatua ugomvi maana hapo kila mtu atakuwa hayuko katika hali a kupokea.
Kwa kumalizia.. gharama ya kutunza ndoa ni kubwa mno in terms of upendo na majukumu na kwamba kama uleavyo mtoto na kuganga njaa yako inapokuuma- endela kusemezana nae na sio kumsema kila siku za uhai wenu.
Kuna movie moja inaitwa "Fireproof" itafute muione wote inaweza kukupa silaha za mapambanio ya kuimarisha ndoa yenu.
http://www.heartstonepictures.com/shop/product_images/h/140/fireproof__74826_zoom.jpg
Nawatalkia kila laheri na naomba feedback juu ya kutumia ushauri huu
Inabidi nijipange kwani kumfukuza nitakuwa pia nimetesa watoto wangu ambao obvious hiyo adhabu haiwahusu. Ila pia nitakuwa nafanya tu basi na yeye atakuwa na kazi gani kwani asilimia 98 ya kazi zote anafanya binti wa kazi.
Pia chunguza pengine kuna kitu hakipendi hapo nyumbani. Na anajaribu ku-ignore kila kitu na kuishi mambo ya kazini nyumbani.
Kwa mfano wengine wanachukia nyumba zao kisa mume ni boring, mazungumzo hayamvutii
<br />Kama hali iko hivi unanishaurije sasa? sometime uko sawa kwani akirudi home ni nadra kuongelea mambo ya home na mara nyingi atakueleza yaliyojiri ofisini na kukupatia ratiba za kazi zake. Kwenda naye taratibu zaidi ya jinsi ambavyo nimekwenda naye ni kutengeneza family isiyo na future labda ushauri kitu kikubwa zaidi.
<br />Punguza expectations ndoa yako itadumu. Ni ngumu upate career woman afu utegemee afanye kazi 70%<br />
<br />
Angekuwa mzinzi ningesema ndoa yako iko mashakani. Lakini hayo mambo madogo madogo jaribu kuya ignore.<br />
<br />
Kama unampa maelekezo ukisafiri afu yeye hafanyi labda ni msahaulifu uwe unapiga simu kumkumbusha; na uchukulie positive si kuwa anafanya makusudi ndivyo alivyo.<br />
<br />
Nina kakangu very smart; mkewe si smart (though sisemi kuwa ni mchafu). Kaka yangu anafanya most of cleanings and arrangements ndani na ndoa yao ni mfano na si kwamba mke ni bread winner; nope my bro is doing it out of love.<br />
<br />
Jipime na wewe pia. Upendo hauesabu. Epuka kusema mimi na keep promise yeye hakeep promise. Hiyo ni sumu. Love is when you give without expecting to receive.
Ushauri wako ni mzuri sana. Ukweli ni kwamba ilifika mahali akiweka ahadi tunaandika tarehe na huwa na hifadhi ila ku keep imekuwa ngumu na unapomletea ile karatasi ya makubaliano hushtuka kama hajui uliweka kumbukumbu na kuanza kuomba masamaha.
<br />Nilishamfukuza huyu wife mara mbili na hayuko tayari kuondoka na kuliko aende kwao ataenda kwa mama yangu kumpigia magoti ili anishawishi nimrudishe . Akiwa kwa mama humwomba mama anipigie simu kuniomba msamaha na anaweza akakaa kwa mama hata siku tatu na huwa inabidi nimheshimu mama yangu basi namkubalia.
Du kama mmefikia kuandikishiana mlichozungumza; hiyo ligi sasa. Sijawahi sikia maisha ya namna hiyo. Hacheni kushindana na kutafuta aliye right na wrong. Ni sumu pia.
Kama hali iko hivi unanishaurije sasa? sometime uko sawa kwani akirudi home ni nadra kuongelea mambo ya home na mara nyingi atakueleza yaliyojiri ofisini na kukupatia ratiba za kazi zake. Kwenda naye taratibu zaidi ya jinsi ambavyo nimekwenda naye ni kutengeneza family isiyo na future labda ushauri kitu kikubwa zaidi.
<br />Ushauri wako ni mzuri sana. Ukweli ni kwamba ilifika mahali akiweka ahadi tunaandika tarehe na huwa na hifadhi ila ku keep imekuwa ngumu na unapomletea ile karatasi ya makubaliano hushtuka kama hajui uliweka kumbukumbu na kuanza kuomba masamaha.