KERO Tatizo katika uhakiki wa vyeti kwa wanafunzi wanaoomba Mkopo na huduma za RITA kwa ujumla

KERO Tatizo katika uhakiki wa vyeti kwa wanafunzi wanaoomba Mkopo na huduma za RITA kwa ujumla

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

CyberTz

New Member
Joined
Jun 14, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Habari wanajukwaa.

Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.

Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.

Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.

Mbaya zaidi hata namba waliyoweka ya huduma kwa wateja yaani Toll Free ile namba ipo kama pambo kwa sabbau ukipiga kweli inaita na kutoa maelezo ya ukaribisho lakini wakati wa kusubiri uunganishwe na mtoa huduma inakata katika sekunde ya 28. Mara ya kwanza nilijua labda ni tatizo la mtandao lakini nimefatilia nimekuja kugundua ndivyo ilivyo maana hata wengine wamekuwa wakilalamikia tatizo hilo hilo.

Tatizo lilipo zaidi kwa kuwa hakuna sehemu tunaweza kuwapata kwa mfumo wa mawasiliano ili watolee ufafanuzi wa swala hili na wako kimya, account zote za social media hawapokei sms utaisgia ku-comment tu na atakwambia andika control number yako lakini nothing is solved. Sasa kama unatatua tatizo kwa kuomba control number ya kila mmoja utatua mara ngapi badala ya kutafuta tatizo lilipo kama ni kwenye mfumo au watendaji kazi ulitatue.

Pia soma: Madai ya kuchelewesha Vyeti, RITA yasema imepokea maombi 143,157, yaliyofanyiwa kazi ni 61.2%

Hii inatuathiri sisi sana kwa sababu dirisha la kuomba mkopo liko wazi lakini cheti hakiko verified maana yake wanatukwamisha kuendelea na maombi huku muda nao unazidi kuyoyoma.

Pia kuna shida hata katika watu wanaoomba vyeti vipya, uhakiki wa vyeti vya kifo yaani kiujumla ni shida tu, wengine wamelipia huduma lakini mfumo unawaonesha bado hawajalipia.

Hizi taasisi za kiserikali huwa zinakwama wapi? Na wamekalia kuhamasisha kuwa tumalize shida zetu kidijitali wakati huduma ni mbovu namna hii.
 
Wanafunzi wanaohitaji kuomba mkopo wanachelewa kufanya maombi kwasababu ya RITA kushindwa kufanya uhakiki wa vyeti kwa wakati.

Wakipigiwa simu hawapokei wala email hawajibu kiasi kwamba watu wamekimbilia kwenye kurasa yao ya Facebook kucomment kuomba kusaidiwa na majibu yao ombi lako linashughulikiwa lakini hakuna kinachoendelea.

Naomba JamiiForums mtusaidie kupaza sauti watufanyie uhakiki kwa wakati.
 
RITA wanazingua sana. Hii mifumo ya serikali kwanini sijui huwa haijiandai ipasavyo
 
Habari zenu wanajamii wenzangu!
Kuna hii mamlaka inayoitwa RITA, Ni bomu linalosubiri wakati tu ili kulipuka. Huduma zao ni mbovu sana si mtandaoni, Ofisini wala Huduma kwa wateja. Kipindi kama hiki cha vijana kuomba mikopo na kuomba nafasi za kusoma katika Vyuo vya Elimu ya Juu, RITA wao wako kimya na hawahangaiki. Sio kwamba nawasingizia au vipi. Nilijua ni mimi tu ninayehangaika na kukerwa na huduma mbovu za hawa jamaa.
Hebu pitieni haya malalamiko muone jinsi hawa jamaa wanakiburi cha uzima na hawahangaiki hata. Na majukumu waliyonayo ni machache mnoo. Hii Mamla ilipaswa kufutwa na majukumu yake kukabidhiwa NIDA. Mkurugenzi wa hili mamlaka akija kutumbuliwa nayeye atasema amefanyiwa figisu??
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-11-01-05-805_com.twitter.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-01-05-805_com.twitter.android-edit.jpg
    546.8 KB · Views: 19
  • Screenshot_2024-07-16-11-01-20-358_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-01-20-358_com.twitter.android.jpg
    551 KB · Views: 15
  • Screenshot_2024-07-16-11-01-52-703_com.twitter.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-01-52-703_com.twitter.android-edit.jpg
    746 KB · Views: 21
  • Screenshot_2024-07-16-11-02-06-668_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-02-06-668_com.twitter.android.jpg
    521.8 KB · Views: 17
  • Screenshot_2024-07-16-11-02-23-685_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-02-23-685_com.twitter.android.jpg
    968.1 KB · Views: 14
  • Screenshot_2024-07-16-11-02-32-090_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-02-32-090_com.twitter.android.jpg
    715.7 KB · Views: 22
  • Screenshot_2024-07-16-11-02-38-071_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-07-16-11-02-38-071_com.twitter.android.jpg
    690.3 KB · Views: 27
RITA wanatumia muda mrefu kuhakiki vyeti vya kuzaliwa na kutuchelesha maombi ya mkopo. Mahakama na Mawakili wapewe kazi hii.

Kama tunalipishwa Tsh. 6000 kwa cheti kimoja kwanini kama ana watumishi wachache asitoe ajira ya muda kwa vijana (Gen Z) walioko mtaani zoezi likaenda haraka?
 
RITA ni taasisi ya serikali ambayo ni ya ovyo sana, nina mdogo wangu amemaliza form 6, nikamhakikia cheti ili apate namba ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa. Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 6 mwaka huu tarehe 1.

Mpaka leo ni tarehe23 mwezi wa 7 na hamna majibu yoyote, kibaya zaidi ukiwapigia, simu yao inaita tu ikifika secunde 28 inajikata .

Sasa najiuliza kwanini hivyo vyeti vya kuzaliwa wasivihakiki moja kwa moja wanapotoa? Nini dhamira haswa kwa sababu kama wameshindwa kuhakiki kwa wakati maana yake mfumo hawauwezi

Haya ni baadhi ya madudu yao japo kuna mengine mengi tu.
 
ni taasisi ya serikali ambayo ni ya hovyo sana , nina mdgo angu amemaliza form 6 , nikamuhakikia cheti ili apate namba ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa. Nakumbuka ilikua mwezi wa 6 mwaka huu tarehe 1 ,mpaka leo ni tarehe23 mwezi wa 7 na hamna majibu yoyote ,kibaya zaidi ukiwapigia simu simu yao inaita tu ikifika secunde 28 inajikata . Sasa najiuliza kwanni hivyo vyeti vya kuzaliwa wasivihakiki moja kwa moja wanapotoa nini dhamira haswa kwa 7bu kama wameshindwa kuhakiki kwa wakati maana yake mfumo hawauwezi haya ni baadhi ya madudu yao japo kuna mengine mengi tu
 
Habari wanajukwaa.

Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.

Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.

Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.

Mbaya zaidi hata namba waliyoweka ya huduma kwa wateja yaani Toll Free ile namba ipo kama pambo kwa sabbau ukipiga kweli inaita na kutoa maelezo ya ukaribisho lakini wakati wa kusubiri uunganishwe na mtoa huduma inakata katika sekunde ya 28. Mara ya kwanza nilijua labda ni tatizo la mtandao lakini nimefatilia nimekuja kugundua ndivyo ilivyo maana hata wengine wamekuwa wakilalamikia tatizo hilo hilo.

Tatizo lilipo zaidi kwa kuwa hakuna sehemu tunaweza kuwapata kwa mfumo wa mawasiliano ili watolee ufafanuzi wa swala hili na wako kimya, account zote za social media hawapokei sms utaisgia ku-comment tu na atakwambia andika control number yako lakini nothing is solved. Sasa kama unatatua tatizo kwa kuomba control number ya kila mmoja utatua mara ngapi badala ya kutafuta tatizo lilipo kama ni kwenye mfumo au watendaji kazi ulitatue.

Hii inatuathiri sisi sana kwa sababu dirisha la kuomba mkopo liko wazi lakini cheti hakiko verified maana yake wanatukwamisha kuendelea na maombi huku muda nao unazidi kuyoyoma.

Pia kuna shida hata katika watu wanaoomba vyeti vipya, uhakiki wa vyeti vya kifo yaani kiujumla ni shida tu, wengine wamelipia huduma lakini mfumo unawaonesha bado hawajalipia.

Hizi taasisi za kiserikali huwa zinakwama wapi? Na wamekalia kuhamasisha kuwa tumalize shida zetu kidijitali wakati huduma ni mbovu namna hii.
Fungua account mpya lipa tatizo litaisha otherwise utaandika sana JF na hakuna atakaebadili tatizo lako.
 
Habari wanajukwaa.

Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.

Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.

Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.

Mbaya zaidi hata namba waliyoweka ya huduma kwa wateja yaani Toll Free ile namba ipo kama pambo kwa sabbau ukipiga kweli inaita na kutoa maelezo ya ukaribisho lakini wakati wa kusubiri uunganishwe na mtoa huduma inakata katika sekunde ya 28. Mara ya kwanza nilijua labda ni tatizo la mtandao lakini nimefatilia nimekuja kugundua ndivyo ilivyo maana hata wengine wamekuwa wakilalamikia tatizo hilo hilo.

Tatizo lilipo zaidi kwa kuwa hakuna sehemu tunaweza kuwapata kwa mfumo wa mawasiliano ili watolee ufafanuzi wa swala hili na wako kimya, account zote za social media hawapokei sms utaisgia ku-comment tu na atakwambia andika control number yako lakini nothing is solved. Sasa kama unatatua tatizo kwa kuomba control number ya kila mmoja utatua mara ngapi badala ya kutafuta tatizo lilipo kama ni kwenye mfumo au watendaji kazi ulitatue.

Hii inatuathiri sisi sana kwa sababu dirisha la kuomba mkopo liko wazi lakini cheti hakiko verified maana yake wanatukwamisha kuendelea na maombi huku muda nao unazidi kuyoyoma.

Pia kuna shida hata katika watu wanaoomba vyeti vipya, uhakiki wa vyeti vya kifo yaani kiujumla ni shida tu, wengine wamelipia huduma lakini mfumo unawaonesha bado hawajalipia.

Hizi taasisi za kiserikali huwa zinakwama wapi? Na wamekalia kuhamasisha kuwa tumalize shida zetu kidijitali wakati huduma ni mbovu namna hii.
Kweli hawa watu ni hovyo kabisa na wana custer care hovyo. Mwaka flani wakati nafuatilia passport yangu karibu nimchape makofi binti mmoja pale ghorofani, hovyo kabisa hii taasisi.
 
RITA ni taasisi ya serikali ambayo ni ya ovyo sana, nina mdogo wangu amemaliza form 6, nikamhakikia cheti ili apate namba ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa. Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 6 mwaka huu tarehe 1.

Mpaka leo ni tarehe23 mwezi wa 7 na hamna majibu yoyote, kibaya zaidi ukiwapigia, simu yao inaita tu ikifika secunde 28 inajikata .

Sasa najiuliza kwanini hivyo vyeti vya kuzaliwa wasivihakiki moja kwa moja wanapotoa? Nini dhamira haswa kwa sababu kama wameshindwa kuhakiki kwa wakati maana yake mfumo hawauwezi

Haya ni baadhi ya madudu yao japo kuna mengine mengi tu.
Rushwa,rushwa,RUSHWA!
 
Back
Top Bottom