Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaPale RITA kuna upigaji
Rafiki yangu alitaka nakala ya cheti cha kuzaliwa. Alisumbuliwa na majibu ya kipumbavu mpaka alipotoa shilingi 10,000 mara moja cheti kikatolewa
Toa mlungula periodHabari! Kuna tatizo Gani linalochelewesha verification ya vyeti? Ni Karibu Mwezi mzima mmeshindwa kuhakiki vyeti vilivyotumwa kwenye mfumo. Changamoto ni nini?
Simu awapokei wajingaaMkuu ukiongea nao vizuri (🏧) Ndani ya nusu saa cheti kiko mkononi
HII NI KEROHabari wanajukwaa.
Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.
Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.
Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.
Mbaya zaidi hata namba waliyoweka ya huduma kwa wateja yaani Toll Free ile namba ipo kama pambo kwa sabbau ukipiga kweli inaita na kutoa maelezo ya ukaribisho lakini wakati wa kusubiri uunganishwe na mtoa huduma inakata katika sekunde ya 28. Mara ya kwanza nilijua labda ni tatizo la mtandao lakini nimefatilia nimekuja kugundua ndivyo ilivyo maana hata wengine wamekuwa wakilalamikia tatizo hilo hilo.
Tatizo lilipo zaidi kwa kuwa hakuna sehemu tunaweza kuwapata kwa mfumo wa mawasiliano ili watolee ufafanuzi wa swala hili na wako kimya, account zote za social media hawapokei sms utaisgia ku-comment tu na atakwambia andika control number yako lakini nothing is solved. Sasa kama unatatua tatizo kwa kuomba control number ya kila mmoja utatua mara ngapi badala ya kutafuta tatizo lilipo kama ni kwenye mfumo au watendaji kazi ulitatue.
Hii inatuathiri sisi sana kwa sababu dirisha la kuomba mkopo liko wazi lakini cheti hakiko verified maana yake wanatukwamisha kuendelea na maombi huku muda nao unazidi kuyoyoma.
Pia kuna shida hata katika watu wanaoomba vyeti vipya, uhakiki wa vyeti vya kifo yaani kiujumla ni shida tu, wengine wamelipia huduma lakini mfumo unawaonesha bado hawajalipia.
Hizi taasisi za kiserikali huwa zinakwama wapi? Na wamekalia kuhamasisha kuwa tumalize shida zetu kidijitali wakati huduma ni mbovu namna hii.
Rita makao makuu kuna rushwa kubwa sana inayotekelezwa kupitia mawakala ambao wanakaa sehemu ya maegesho ya magari mkabala na ilipokuwa Club Billicans. TAKUKURU kazi kwenuHabari wanajukwaa.
Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.
Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.
Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.
Mbaya zaidi hata namba waliyoweka ya huduma kwa wateja yaani Toll Free ile namba ipo kama pambo kwa sabbau ukipiga kweli inaita na kutoa maelezo ya ukaribisho lakini wakati wa kusubiri uunganishwe na mtoa huduma inakata katika sekunde ya 28. Mara ya kwanza nilijua labda ni tatizo la mtandao lakini nimefatilia nimekuja kugundua ndivyo ilivyo maana hata wengine wamekuwa wakilalamikia tatizo hilo hilo.
Tatizo lilipo zaidi kwa kuwa hakuna sehemu tunaweza kuwapata kwa mfumo wa mawasiliano ili watolee ufafanuzi wa swala hili na wako kimya, account zote za social media hawapokei sms utaisgia ku-comment tu na atakwambia andika control number yako lakini nothing is solved. Sasa kama unatatua tatizo kwa kuomba control number ya kila mmoja utatua mara ngapi badala ya kutafuta tatizo lilipo kama ni kwenye mfumo au watendaji kazi ulitatue.
Hii inatuathiri sisi sana kwa sababu dirisha la kuomba mkopo liko wazi lakini cheti hakiko verified maana yake wanatukwamisha kuendelea na maombi huku muda nao unazidi kuyoyoma.
Pia kuna shida hata katika watu wanaoomba vyeti vipya, uhakiki wa vyeti vya kifo yaani kiujumla ni shida tu, wengine wamelipia huduma lakini mfumo unawaonesha bado hawajalipia.
Hizi taasisi za kiserikali huwa zinakwama wapi? Na wamekalia kuhamasisha kuwa tumalize shida zetu kidijitali wakati huduma ni mbovu namna hii.
hadi na kadi ya chamaTatizo hilo ni la kutokea june 2024 hakuna hatua zozote zinachukuliwa na waombaji wanashindwa kuendelea kufanya maombi ya Elimu ya Juu hasa kwa Tanzania Bara.
Visiwani wanaweka tu barua na wanaendelea safi kabisa
Je hii ni mbinu ya kupunguza kuondoa wanufaikaji wa mikopo maana watu wamekwama hapo na hakuna hatua za kueleweka zinachukuliwa na muda wa kufunga dirisha la maombi ni August 31?
Soma Pia: RITA wanalipisha kupata verification code, kwanini wasitengeneze vyeti kama NECTA then wakaweka zile code kama namba ya cheti kama ilivyo namba NECTA
JamiiForum fuateni hii ishu wanafunzi wanaotarajia kuendelea na elimu wamekwama
Kama uko Dar kaverify pale pale RITA makao makuuTatizo hilo ni la kutokea june 2024 hakuna hatua zozote zinachukuliwa na waombaji wanashindwa kuendelea kufanya maombi ya Elimu ya Juu hasa kwa Tanzania Bara.
Visiwani wanaweka tu barua na wanaendelea safi kabisa
Je hii ni mbinu ya kupunguza kuondoa wanufaikaji wa mikopo maana watu wamekwama hapo na hakuna hatua za kueleweka zinachukuliwa na muda wa kufunga dirisha la maombi ni August 31?
Soma Pia: RITA wanalipisha kupata verification code, kwanini wasitengeneze vyeti kama NECTA then wakaweka zile code kama namba ya cheti kama ilivyo namba NECTA
JamiiForum fuateni hii ishu wanafunzi wanaotarajia kuendelea na elimu wamekwama