Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Wakuu habari zenu.
Naombeni msaada nina kisima ninachovuna maji ya mvua, naona kama kinavuja ndani kwa ndani kwani maji hayajai tena, nilijaribu nikatoa maji yote, nikasafisha na kusakafia tena pamoja na ule unga nimeaahau jina lake, wanasema unaziba, lakini naona maji bado hayasogei, Kama yanavuja.
Mafundi hakuna anayenipa jibu.
Naombeni msaada tafadhali.
Naombeni msaada nina kisima ninachovuna maji ya mvua, naona kama kinavuja ndani kwa ndani kwani maji hayajai tena, nilijaribu nikatoa maji yote, nikasafisha na kusakafia tena pamoja na ule unga nimeaahau jina lake, wanasema unaziba, lakini naona maji bado hayasogei, Kama yanavuja.
Mafundi hakuna anayenipa jibu.
Naombeni msaada tafadhali.