Tatizo kubwa kwa kupungua nguvu za kiume siyo aina ya chakula bali

Katika maadui watatu serikali sasa iongeze yawe 4 hili la nguvu za kiume ni janga la Taifa
 
Upungufu wa nguvu za kiume kila mtu anazo sababu na chanzo cha tatizo kwake.

Ila tatizo kuu ni kuathirika kisaikolojia. Mfano mimi nikiwa sina pesa nakuwa na stress hata sex nikifanya nnakuwa mbali kifikra.

Kizazi chetu nacho ili kuandaa mazingira mazuri ya sex lazima wallet ikunjuke na balaa zaidi kama ni mchepuko, kila anayeshiriki sex na mwanaume anategemea malipo. Hivyo ukipiga kimoja cha pili ni issue..unawaza utafidia vipi pengo la fedha ulizospend..

Kwahiyo stress za kiuchumi zinafanya wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume.

Pia vijana wengi wavivu wa kufikiri huamini pombe na madawa kama bangi na mirungi huondoa stress.

Kati ya vitu vinavyoua nguvu za kiume ni pamoja na pombe za kienyeji na viroba, bangi na mirungi, madawa ya kulevya, madawa ya kuongeza nguvu za kiume nk
 
Eeh bhana Musituzingue! Anaetaka Nguvu Za Kiume Na Aende Gym tu!!
 
Mm nadhani na wadada kutembea uchi ni sababu pia-vijana kila dk wamesimamisha tu. Ukifika muda wa mechi mchezaji Hoi.

Afu haya makalio makubwa na mashape mapya mijini yana tumalizia vijana.
Kweli kabisa!
 
Pono inasababisha hii Hali kutokea maana unapoangalia pono lazima upige pull ili ufike tamati then vijana tofaut huangalia inayohusisha wanawake wenye rangi Na shape tofaut ambao huridhika wanapowaangali but anapokuja kukutana Na Demu ambaye hana shape nzur kulingana Na anayempenda kwenye pono hapa performance huwa low but akikutana na anayeendana kishape, uzur Na mwanamke wa kwenye pono hapa performance huwa high, coz Ni ishu ya kisaikolojia ambayo huwa imeathirika
 
watu wengine tunapiga puchu na wife akija kazi iko pale pale mwendo mdundo! hao watakua na matatizo yao mengine.
 
Mkuu kama umeniona vile,mi naangalia sana x mpaka nekuwa sinahamu na mwnamke,ebu tutafutie suluhisho ndgu hali ni mbaya,nakosa confidence kukutana na mwanamke mana punyeto ishanimaliza na kichwa kimejaa pono tu[emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Mimi huwa sikubaliani na ilo. Mimi ni victim wa hiz pono na punye ila kwa wanawake au wasichana nao kutana nao hata wakiolewa wananisumbuaga sana. Weng wanasema hwajawai kukutana kimapenz na mwanaume kama mimi.

Pono zimeweka hisia zangu za mapenzi mbali sana. Ninaweza kufanya mapenzi saa nzima bila kutupia na hata nikitupia mzee halali.

Wengi hudhani natumia dawa bt honestly hata izo dawa czijui.

Efect nayo pata ni kuwa punye inanikondesha sana coz napiga almost kila siku. Kupata ucngiz mpaka nijichue.
 
Jamaa uko sahihi kabisaaa , na kwa tafiti zilizofanyika materbation haina madhara kwny uwezo na nguvu za kiume. Ila unapata psychological problem ambazo huwa znapungua tu pale ukiamua na kuamua kuachana na punyeto[emoji382] [emoji382]
 
Mm nadhani na wadada kutembea uchi ni sababu pia-vijana kila dk wamesimamisha tu. Ukifika muda wa mechi mchezaji Hoi.

Afu haya makalio makubwa na mashape mapya mijini yana tumalizia vijana.
Mkuu umehit ikulu, kwani hilo nalo linachangia mno kwakweli!
 
Hahahaha umetisha
 
Acha kudanganya watu
 
 

Kama takwimu zako NI sahihi mbona watu wasio jiweza kiuchumi wana zaa sana.Kwa Mfano vijijni Au sehemu za miji.Watu wenye uwezo kiuchumi ndio wanazaa mtoto mmoja Au wawili.
naomba nielimishwe tafadhali
 
Kama takwimu zako NI sahihi mbona watu wasio jiweza kiuchumi wana zaa sana.Kwa Mfano vijijni Au sehemu za miji.Watu wenye uwezo kiuchumi ndio wanazaa mtoto mmoja Au wawili.
naomba nielimishwe tafadhali
Kuzaa sana au kutokuzaa sana hakumaanishi uwezo wa nguvu za kiume au upungufu wa nguvu za kiume.

Kuna statement niliwahi kuiskia kuwa "mwanamke akikaa muda mrefu bila kuguswa, ni rahisi kushika mimba akiingiliwa wakati wowote baada ya menstrual period" though I'm not certain sure.

Kama ni kweli utagundua hao wanaume wa kijijini mfano wale wa Rombo, huwa wanaotea moja la ushindi[emoji3] [emoji3].


Pia inawezekana hao wanaume wenye uchumi mdogo wanaozaliana sana, uwezo wao ni goli moja tu wanapotelea usingizini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…