Tatizo kubwa kwa kupungua nguvu za kiume siyo aina ya chakula bali

Tatizo kubwa kwa kupungua nguvu za kiume siyo aina ya chakula bali

Kuzaa sana au kutokuzaa sana hakumaanishi uwezo wa nguvu za kiume au upungufu wa nguvu za kiume.

Kuna statement niliwahi kuiskia kuwa "mwanamke akikaa muda mrefu bila kuguswa, ni rahisi kushika mimba akiingiliwa wakati wowote baada ya menstrual period" though I'm not certain sure.

Kama ni kweli utagundua hao wanaume wa kijijini mfano wale wa Rombo, huwa wanaotea moja la ushindi[emoji3] [emoji3].


Pia inawezekana hao wanaume wenye uchumi mdogo wanaozaliana sana, uwezo wao ni goli moja tu wanapotelea usingizini

Asante Mkuu
 
hili ni tatizo cna hasa kwa wanaume wa dar.msihofu tunahamia dodoma
 
Mzuka wanaJF!

Bora mungu akunyime IQ kuliko nguvu za kiume (manhood). Ni mtazamo wangu tu.

Tatizo kubwa kwasasa linalopunguza nguvu za kiume kwa wanaume wengi hasa vijana ni ponography na punyeto (mastabeshen) na siyo aina ya chakula kama inavyosadikika na wengi.

Hii inatokana sana na teknolojia ya Internet kwenye smartphone na tablets ambapo imekuwa rahis kuingia kwenye tovut za ngono na kujikuta unapiga puli mara kwa mara ukishaziangalia na kuathiri mfumo mzima wa kisaikolojia katika mustakabal mzima wa kugegeda.

Wahanga wengi wa haya makitu wamejikuta kila wakikutana na wenzi wao kugegedana wanajikuta hawana nguvu. Ambapo imepelekea michepuko uchwara mingi katika jamii.

Zamani matatizo kama haya yalijulikana sana kuwakumba wazee na wenye kisukar ila kwa sasa imekuwa tofaut.

Kwa wale wana matatizo kama haya wakijitahid waachane na porn na punyeto kwa wiki mbili wataona mabadiliko makubwa sana na wakiingia uwanjan yani magoli watakayofunga ni ya hatar na kuachia mafuriko kama ya mto Weruweru.

Kwa hisan ya vyanzo vya kuaminika mtandaon.

Young men seeking treatment for erectile dysfunction because of porn
Hata mavazi ya wadada wa siku hizi yanapunguza nguvu za kiume. Zamani kuiona pichu ya binti ilikuwa ishu, siku hizi mapichu njenje!
 
VYAKULA NANE VINAVYIHATARISHA NGUVU ZA KIUME KUPUNGUA.

1.MKATE
2.VYAKULA VYA SUKARI
3.SODA
4.BIDHAA ZA VIWANDANI (SOSEJI BISKUIT CHOKLATE MAYONIZE NA NK)
5.POPCORN(BISI)
6.KAHAWA
7.NYAMA ZA KOPO
8.CHIPS

EPUKA VYAKULA HIVI JE VINGAP UNAPENDA KULA KAT YA HIVI
Mkuu labda utuambie ni kula kwa kiasi gani kunakuwa na madhara.............mfano slice ya mkati ni mbaya au mpaka nipige kama nusu hivi? I know too much of something is dangerous but wataalam wa lishe nao wanasema ule kdgo kwa afya, hii imekaaje?
 
Mkuu labda utuambie ni kula kwa kiasi gani kunakuwa na madhara.............mfano slice ya mkati ni mbaya au mpaka nipige kama nusu hivi? I know too much of something is dangerous but wataalam wa lishe nao wanasema ule kdgo kwa afya, hii imekaaje?
umeelezea vizur to much is harmful ukila kidogo kemikali zinazoingia ni low ukila siku nyingi yaan ndio destur kwa maana jion ukichelewa hupiki chakula ni mkate juisi baada ya mda itakua mbaya
 
Hivi kuna reference standard ya kupima nguvu za kiume?
Ili mtu awe imara lazima kuwepo na mzunguko wa damu,...mazoezi ya viungo+ msosi husaidia kuongeza nguvu za kiume.

Kama mtu hakuzaliwa na hilo tatizo, hawezi kukumbwa nalo ila litatokea kwaa muda tu sababu ya lishe ama stresses, katika hizo hali siyo nguvu za kiume tu bali mwili kwa ujumla huishiwa nguvu

Porn na puchu kamwe havijawahi kusababisha upungufu wa nguvu za kiume!
Yap nimekuelewa Mr kwaiyo naendelee na puchu au Co?
 
Mzuka wanaJF!

Bora mungu akunyime IQ kuliko nguvu za kiume (manhood). Ni mtazamo wangu tu.

Tatizo kubwa kwasasa linalopunguza nguvu za kiume kwa wanaume wengi hasa vijana ni ponography na punyeto (mastabeshen) na siyo aina ya chakula kama inavyosadikika na wengi.

Hii inatokana sana na teknolojia ya Internet kwenye smartphone na tablets ambapo imekuwa rahis kuingia kwenye tovut za ngono na kujikuta unapiga puli mara kwa mara ukishaziangalia na kuathiri mfumo mzima wa kisaikolojia katika mustakabal mzima wa kugegeda.

Wahanga wengi wa haya makitu wamejikuta kila wakikutana na wenzi wao kugegedana wanajikuta hawana nguvu. Ambapo imepelekea michepuko uchwara mingi katika jamii.

Zamani matatizo kama haya yalijulikana sana kuwakumba wazee na wenye kisukar ila kwa sasa imekuwa tofaut.

Kwa wale wana matatizo kama haya wakijitahid waachane na porn na punyeto kwa wiki mbili wataona mabadiliko makubwa sana na wakiingia uwanjan yani magoli watakayofunga ni ya hatar na kuachia mafuriko kama ya mto Weruweru.

Kwa hisan ya vyanzo vya kuaminika mtandaon.

Young men seeking treatment for erectile dysfunction because of porn
vipi kuhusu tatizo la kuwa na nguvu nyingi za kiume linachangiwa na nini.? mana hili nalo ni tatizo. wengine tunaonekana kama tunakomoa. Msaada pliiiz
 
mwanamke anatambua akiona mwanaume hujitambui anatumia dawa za majira na mwishowe utadhan huzai kumbe mtego umekubana mwanaume
 
Back
Top Bottom