Tatizo kwenye redio ya gari

Tatizo kwenye redio ya gari

MZAWA JF

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
4,491
Reaction score
3,996
Wadau naomba anayejua anisaidie. Redio ya gari langu kuna muda inatoa mlio mkali kama mluzi nalazimika kuizima. Tatizo ni nini? Kama vile kuna mwingiliano wa mawimbi au cjui nn.
 
Nenda kwa fundi anae funga mziki wa kwenye gari kuna kifaa atakuwekea kita maliza hiyo miluzi. Kina garimu T.shs, 15000. Anagalia Mmbwa wasiwe wanakufuata mkuu [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nenda kwa fundi anae funga mziki wa kwenye gari kuna kifaa atakuwekea kita maliza hiyo miluzi. Kina garimu T.shs, 15000. Anagalia Mmbwa wasiwe wanakufuata mkuu [emoji2][emoji2][emoji2]
Thanks, hahahaaaa
 
Back
Top Bottom